Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Point...
 
Asubuhi kabla hajaanza kazi zake anaoga, akimaliza anaoga tena makwapani anajisugua na limao, akimaliza anapaka deodorant.
Kila akioga anapaka deodorant ila asubuhi na jioni lazima asugue kwapa na limao.
Pia kuna nguo alikua anavaa material yake yalikua yanachangia pia nikamwambia aache kuzivaa.
Alipona kabisa kabisa
Sijui huko kwa mumewe kama bado anaendelea kutumia deodorant au kaacha maana atakua anamtesa sana kijana wa watu
Ulimpa dawa gani ?
 
Bwana gani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Hamna mwanaume anaekuja kwangu na siishi na mwanaume. Labda alikua anajipamba kwa ajili ya my son
mkuu nakuibia siri ,anajipamba kwa ajili ya mumeo /bwanako
 
Hahahaha nimecheka sana
 
[emoji75] Kweli mabeki3 vituko sana, alafu akili zao hufanana...

Nachokumbuka nikiwa secondary, beki3 wetu alikuwa akifika usiku anavaa khanga tu alafu anakuja sebuleni kucheki tv.
Sasa siku iyo naona alichoka sana si akalala bwana alafu analala ovyo bhs bibi yuleee

Nusu nimrukie ila nikawa namvesha vizuri khanga yake maana bimkubwa alikuwa hajarudi kazini....[emoji81]
 
Sio kupima Ki usawa mnatakiwa mkapime wote, mana hata wewe au watoto wako wanaweza kuwa na maambukizi. Hii imetokea kwa jirani yetu ana vijana nyumbani kumbe mmoja ameathirika, dada wa kazi Kaja kaanza kumgegeda hadi kamwambukiza ngoma mtoto wa watu.
Daah nimekasirika sana aisee
 
Mabeki 3 ni balaa si mchezo!
Nilimpataga mmoja huyo Never forget.
Nikiwepo kapoleeee kataratibuu
Dooo ngoja niondoke kwenda kazini.
Ataongea na simu na Viboyfriend vyake mpaka basi.
Nikashangaa tu mtoto anasema Baby I love you.Baby I love you mwaaaaa!
Kukauliza katoto vizuri kayapata wapi hayo
'Ni Dada Rehema anaongeaga na simu.'
yaani ni visa.
 
Ulikuwa unahofu asije akawaua wewe na mwanao wakati huyo mwanao ulikuwa unamuacha nae siku nzima
 
Jamani kwa hiyo best hivyo visa mpaka.vya uchawi kuweka chunvi kwenye uji na kadhalika MTU asipokaauda mrefu na H/G achunguzwe Roho yake??japo ni kweli kuna maboss wana roho nzito ila sio kila Bosi asipokaa muda na mdada basi achunguzwe.Je Wewe hujawai pata vimbwanga vyao hata kidogo?
Ukitaka kujua roho ya mtu chunguza muda anao kaa na ma house girl.
 
Wadada wa kazi kutosikia ni mbinu zao za kukwepa mzigo wa kazi, maana kuna muda wanachoka hasa wakikutana na bosi mwenye tabia za kihindi, nilikuwa nakaa mbali na familia kikazi ndani ya miaka mitatu walibadilishwa wadada karibia nane, kila siku napewa mashitaka, nikachoka ikabidi nimwambie wife abadilike tabia ajifunze kuishi na watu na kuwavumilia mapungufu yao.

siku niliyorudi rasmi kukaa na familia pamoja tukafika nyumbani siku moja na house girl mpya. Hivi sasa ana miaka miwili kazini na hana mpango wa kuondoka, nilimsaidia kumjenga kisaikolojia pia mimi ndio nimekuwa mtu wa kati kubalance endapo nitaona hatendewi haki.

Tuwafundishe na kuwavumilia japo wana visa vya kuudhi, kuchekesha na kustaajabisha sana ila ndio wanaotulindia nyumba na kutunza watoto wetu.
 
Kuna aliyeondoka ameiba vitu kibao, alisahau kuwa katika stori siku za kwanza alishasema mpaka kijiji anachotoka.

Tulikwenda na polisi kijijini kwao, katika kusearch tulikuta ameiba picha za hubby amezipamba ukutani chumbani kwake.😂
 
inferiority complex ndiyo inawafanya waonekane kama wana matatizo ya akili
 
Nilikua napiga simu kila mara. Nilikua naogopa sana ila sikua na jinsi. Hata nikirudi nikikuta mtoto kalala namuangalia kalala kweli au la.
Ulikuwa unahofu asije akawaua wewe na mwanao wakati huyo mwanao ulikuwa unamuacha nae siku nzima
 
Tumia akili na si hisia wakati wakumjibu mtu afu usikurupuke kwenda kwenye conclusion wakati hujaelewa kilichoandikwa,vitu ulivyoandika ni miner sana kwangu nimeelezea changamoto ya hg tulieishi nae kutotaka kukaa kwenye makochi sababu ya mazoea hata kama hajakatazwa unakuta kakaa chini + hataki kujumuika kula nasi mezani analia jikoni mpk alipozoea ndoakabadilika lkn si kusema nilimkataza
 
 
Bwana gani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Hamna mwanaume anaekuja kwangu na siishi na mwanaume. Labda alikua anajipamba kwa ajili ya my son
Duh basi huyo kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…