Executor
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 872
- 994
Point...
Hamkumfanyia interview?
Ukipata dada wa kazi kwanza mpe mkataba wake wa kazi ausome. Akimaliza kusoma muulize alichoelewa kutoka kwenye mkataba kama ameridhia atie signature
Mpe sharti la kupima ngoma. Akiwa mwathirika usimnyanyapae ila mpe off siku za kitengo.