Ibofwee
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 1,305
- 2,452
Mm shabik wa msimbaz lakin hili suala la washabik wa Yanga kuamua kuchangia timu nimeliona la busara kuliko kuendelea kulalamika huku tim inazid kuboronga, vyura onesheni nguvu ya buku zenu ili tuendelee kushindana kama zaman
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app