Mwafrikamtanzania
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 387
- 421
Barabara ya Mwendokasi itaishia Gongolamboto tu kwa mujibu wa Waziri husika.G.mboto bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabara ya Mwendokasi itaishia Gongolamboto tu kwa mujibu wa Waziri husika.G.mboto bado sana
Hii ya kutoka City Center hadi Bunju nayo ni kipande kirefu. Ni kama Kibaha au Chanika. Ila tunachukulia poa tuUmbali unapimiwa kutoka city cenre ,je kutoka city centre hadi chanika ni Km ngapi? Kutoka city centre hadi yale yale puna ni Km ngapi? Kuna city center hadi Bunju Darajani mpakani ni km ngapi?
Wataongeza badaeBarabara ya Mwendokasi itaishia Gongolamboto tu kwa mujibu wa Waziri husika.
Mashamba bothiiii yanapatikana kwa bei gani? Natamani eneo angalau la ekari 1 hivi!Chanika jirani kabisa, mie kila siku natokea huko naenda posta. Sijawahi kuchelewa mishe zangu. Kule maisha rahisi sana. Hata umeme tunapata bei nafuu
Pia uswahili sio sana ni maeneo machacheKweli. Hakuna sehemu zenye machaka sana.
Kinachoibeba Kibaha kuwa na barabara njia 8na foleni pale airport duh
Labda kama kuna foleni ndio utatumia muda wote huo. Au uwe mgeni kwa wenyeji wanajua ikiwa kama ni wikiendi hamana foleni G'mboto to Posta haizidi dakika 15Mkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.
Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes anashuka Kibaha sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
Kibaha karibu.Chanika mbali kama kibaha?
Wapi karibu?Kibaha karibu.
Hata mbagala to kariakoo ni mbali sn kuna km karibia 40 pale ila watu hawaongelei tu unaweza tumia hata masaa matatu kutoka mbagala to kariakooHii ya kutoka City Center hadi Bunju nayo ni kipande kirefu. Ni kama Kibaha au Chanika. Ila tunachukulia poa tu
Kaka Andrew Nyerere kumbe na wewe una kimbizaga mwenge (kutembea kwa mguu)Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,Samia Suluhu,msafara wake pale Pugu anaelekea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
Nimebahatika kupanda hili bus leo kutoka Chanika mpaka Banana kwa nauli ya buku (Tsh. 1,000/-)Leo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani.
Angalia picha inajieleza kabisaView attachment 3100573View attachment 3100574
Mbona na Dar ipo Chanika, sasa ipi?Leo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani.
Angalia picha inajieleza kabisaView attachment 3100573View attachment 3100574
Kimbiji shamba Sana kule, mbali balaa chanika pazuri Sana mbonaKimbiji ni balaa lingine nina plot kule chaurembo aisee nauli 2700 kutoka ferry
Mimi nikiwa natoka Msasani kwenda Kkoo huwa nahisi kama nimeenda Jehanam, bora hiyo chanika iliyopo mkoani.Leo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani.
Angalia picha inajieleza kabisaView attachment 3100573View attachment 3100574
Mimi nikiwa natoka Msasani kwenda Kkoo huwa nahisi kama nimeenda Jehanam, bora hiyo chanika iliyopo mkoani.Leo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani.
Angalia picha inajieleza kabisaView attachment 3100573View attachment 3100574
CbdUmbali unapimwa kutokea City center mkuu. Maendeleo yenyew ni center based (CBD)