Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

Umbali unapimiwa kutoka city cenre ,je kutoka city centre hadi chanika ni Km ngapi? Kutoka city centre hadi yale yale puna ni Km ngapi? Kuna city center hadi Bunju Darajani mpakani ni km ngapi?
Hii ya kutoka City Center hadi Bunju nayo ni kipande kirefu. Ni kama Kibaha au Chanika. Ila tunachukulia poa tu
 
Mkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.

Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes anashuka Kibaha sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
Labda kama kuna foleni ndio utatumia muda wote huo. Au uwe mgeni kwa wenyeji wanajua ikiwa kama ni wikiendi hamana foleni G'mboto to Posta haizidi dakika 15
 

Attachments

  • Screenshot_20240921_165707_Chrome.jpg
    Screenshot_20240921_165707_Chrome.jpg
    172.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240921_165657_Chrome.jpg
    Screenshot_20240921_165657_Chrome.jpg
    157.7 KB · Views: 6
Nilichogundua pia ni kwamba wakazi wengi wa maeneo ya karibu na kati kati ya Jiji na pembeni kidogo mfano: Tandika, Keko, Ubungo, Manzese, Temeke, Magomeni etc. Bado hawana ufahamu juu ya Jiji la Dar es Salaam linavyotanuka kufanya watu wafike Chanika au Kibaha. Ndiyo maana hata kuujua umbali ni changamoto. Kama hujafika maeneo hayo unaweza ukadhani ni mbali sana kuliko uhalisia
 
Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,Samia Suluhu,msafara wake pale Pugu anaelekea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
Kaka Andrew Nyerere kumbe na wewe una kimbizaga mwenge (kutembea kwa mguu)
 
Back
Top Bottom