Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kariakoo ipo wilaya ganiSIkupingi mkuu uko sahihi
Ukitaka udumae akili na uwe na mindset ya kiswazi ishi hizo wilaya Temeke au Ilala
Wewe ni muongo kutoka mbezi magufuli pale nauli 700 kwa daladalaKibaha nchi nyingine ile wallahi. Kutoka mbezi nauli 1600. Mbezi pale stendi ya mkoa 🤣
Wapi mbona kawaida sana mimi kibaha naenda mara nyingi na mpaka sasa nipo kibaha huwa natoka kariakoo kwa napitia makumbusho nachukua gari la mbez halafu nafika mapema tu tena kiboss kabisaMwendo kasi ndio imesaidia kidogo unatoka gerezani mpaka mbezi Luis then ndio unaanza safari ya kibaha sasa😂 kama ulikua k/koo lakini.
Mbezi kwenda kibaha kongowe nauli 700? Unaumwa weweWewe ni muongo kutoka mbezi magufuli pale nauli 700 kwa daladala
Nawashangaa sana hawa watu ni waongo kibaha sio mbali kiivoKibaha nchi nyingine how?
Mimi naishi Mbezi nina jamaa yangu anaishi Kibaha tukiahidiana tukutane mjini Dar tunapishana 30 min tu useme Kibaha ni mbali?
Aisee dakika 45 kuja mbezi aisee mbona wewe jamaa ni muongo hivo?Ah wapi! Kibaha kuja mbezi unajua ni zaidi ya dakika 45? Mnapishana vipi dakika 30? Anatumia usafir wa kwake au wa umma?
Wewe ndio unaumwa mimi nafanya hizo safari kila mwisho wa wiki huwa narudi dar nauli mpaka mbez ni 700 tu labda niwewe boya ndio unapigwa ukitumia mwendo kasi ni 1500 hiyo ni mpaka kariakoo msimbaziMbezi kwenda kibaha kongowe nauli 700? Unaumwa wewe
Nauli kutok kibaha kongowe kuja mbezi kias gan?Aisee dakika 45 kuja mbezi aisee mbona wewe jamaa ni muongo hivo?
Uhakika mkuuMkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.
Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes anashuka Kibaha sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
Sasa ndugu yangu wewe ni Mzungu!?chanika ni uswahilini sana
IlalaHivi kariakoo ipo wilaya gani
Kijichi kwa kweli nilipaelewa! Sijui kwa nini mipango miji hawachukui somo hapo!Yeah Kijichi kule watu wanaishi lakini Chanika wengi ni wale tunaoishi tukingoja siku zetu tutwaliwe.
Nimewahi kufika mara moja 2020 Kijichi ina hadhi ya kuitwa makazi ya watu.
Angalia picha inajieleza kabisa
Kweli. Hakuna sehemu zenye machaka sana.Wilaya ya Kinondoni na Ubungo ndio nzuri kwa makazi