Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

Chanika ni kama unaenda mkoa mwingine

Chanika nina dada'angu mpaka leo hatuongei vizuri harusi yake ilifanyika huko na mimi niliteuliwa kama mtoa neno wa familia nikaondoka Kariakoo saa tisa kipindi hicho Chanika mgeni nikijua nitawahi.

Barabarani foleni changanya na umbali nilifika ukumbini nikakuta wanakula tena na chakula nikakosa,mimi mtu anaeishi Chanika namuheshimu wale wana uvumilivu wa kipekee.
Chanika kwenda kariakoo nauli 1200

Kibaha kwenda mbezi luisi ni 1600
 
Chanika nina dada'angu mpaka leo hatuongei vizuri harusi yake ilifanyika huko na mimi niliteuliwa kama mtoa neno wa familia nikaondoka Kariakoo saa tisa kipindi hicho Chanika mgeni nikijua nitawahi.

Barabarani foleni changanya na umbali nilifika ukumbini nikakuta wanakula tena na chakula nikakosa,mimi mtu anaeishi Chanika namuheshimu wale wana uvumilivu wa kipekee.
duh pole
 
Mkuu hii mada tukiiweka kwa muktadha kwamba tubishane mimi nitakuachia ushindi.

Lakini ukweli mtu anayetoka lets say Posta kupandisha Kibaha humfananishi na anayeenda Chanika,akikamata Mwendokasi mpaka Mbezi ni 40min Mbezi akikamata coaster mpaka Kibaha hazizidi 25 to 30 minutes anashuka Kibaha sasa muda huo anayeenda Chanika kama kasogea sana atakuwa yupo Kipawa,well kinachowabeba watu wa Morogoro road ni Mwendokasi but still Chanika hata huo Mwendokasi wa G/Mboto ukianza bado patakuwa mbali
Sio kweli
 
Duh mzee ulijitahidi sio mchezo toka Taliani mpka Zingiziwa.? Ulitumia masaa mangapi.?
Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,msafara wake pale Pugu anaelelea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
 
Back
Top Bottom