Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
chanika ni uswahilini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.Nauli zingiziwa ni kias gani
Ah wapi ile urban slums mzee haiwez fik thamani hiyo hata iwejeSasa hv wanachekwa
Miaka 20 ijayo wakianza kuuza maeneo yao 200mil
Kibaha nchi nyingine ile wallahi. Kutoka mbezi nauli 1600. Mbezi pale stendi ya mkoa 🤣Imagine unakaa picha ya ndege.
tatizo sio kukaa ishu ni kwamba iyo sehemu ikoje watu wake wakoje na wewe ukojeImagine unakaa picha ya ndege.
Kwamba magomeni hakuna maeneo ya 200milAh wapi ile urban slums mzee haiwez fik thamani hiyo hata iweje
Mkuu unatembea kwa kupenda au ni ugumu wa maisha?Zingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,msafara wake pale Pugu anaelelea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
Tunazungumzia umbali mkuutatizo sio kukaa ishu ni kwamba iyo sehemu ikoje watu wake wakoje na wewe ukoje
Miundombinu ya barabara ya Kibaha ni tofauti sanaZingiziwa unapita Chanika,kwa hiyo nauli inaweza kuongezeka kidogo.
Lakini hata ukienda Kariakoo mpaka Zingiziwa,Kibaha ni mbali zaidi
Kibaha ni 21 miles.
Can you believe it?
Siku moja nimekwenda kwa mguu mpaka Kibaha na kurudi kwa mguu.
Nilifika nyumbani saa tano usiku.
Chanika nimekwenda kwa mguu two or three or four times.
Lakini usually nilikuwa napenda sana kutembea kutoka Chanika mpaka Gongs.
Siku moja nimepishana na Makamu wa Rais,msafara wake pale Pugu anaelelea Kisarawe.
Nimeenda Zingiziwa siku moja kwa mguu kutoka Taliani.
Nikarudi kwa daladala.
Sasa konda ananiuliza"Mzee unakwenda wapi, Kariakoo?"
Wale abiria wanamwambia,"Huyu anashuka Taliani"
Hata kama ni wew bosi huwez tia hela mpka utathmini eneo husika. Chanika ile ni buguruni iliyopoaKwamba magomeni hakuna maeneo ya 200mil
Imagine unakaa picha ya ndege.
Mwendo kasi ndio imesaidia kidogo unatoka gerezani mpaka mbezi Luis then ndio unaanza safari ya kibaha sasa😂 kama ulikua k/koo lakini.Kibaha nchi nyingine ile wallahi. Kutoka mbezi nauli 1600. Mbezi pale stendi ya mkoa 🤣
Nimeshangaa kibaha kupewa thamani hivi na umbali wake kuja kariakoo hauvumiliki. Si bora kimbijiMwendo kasi ndio imesaidia kidogo unatoka gerezani mpaka mbezi Luis then ndio unaanza safari ya kibaha sasa😂 kama ulikua k/koo lakini.
Can you brief us the assertionMiundombinu ya barabara ya Kibaha ni tofauti sana na huko Chanika
Anzia kwa mbiki kwenda mbele nguvu kazi mpaka chanika mwisho kule mzee sio pa kujengaChangamoto ya Chanika ni uswazi ya baadaye. Sio mahali pazuri sana kwa makazi.
Kwanza sehemu kubwa ni tambarare kuna maeneo yamejengwa ukichunguza mvua zikinyesha mitaro haina pa kwenda.
Kwa mtu anayeona mbali Chanika sio pa kujenga nyumba yako ya makazi
Chanika ni Vingunguti na Manzese ya baadaye mark this comment
Anzia kwa mbiki kwenda mbele nguvu kazi mpaka chanika mwisho kule mzee sio pa kujenga
Kibaha nchi nyingine how?Umbali umepinwa na mpango wa nauli. Achilia mbali kero ya njia ya usafiri.. kibaha nchi yingine ile