kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,780
- 673
Barabara ya kwenda Kibaha ni njia nane. Kwenda Chanika sehemu kubwa ni njia mbili.Can you brief us the assertion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabara ya kwenda Kibaha ni njia nane. Kwenda Chanika sehemu kubwa ni njia mbili.Can you brief us the assertion
G.mboto bado sanaNjia ya Mwendokasi wamefikia wapi kutengeneza?
Km 30Umbali unapimwa kutokea City center mkuu. Maendeleo yenye ni center based (CBD)
Nilienda mara moja nilijuta.G.mboto bado sana
Ah wapi! Kibaha kuja mbezi unajua ni zaidi ya dakika 45? Mnapishana vipi dakika 30? Anatumia usafir wa kwake au wa umma?Kibaha nchi nyingine how?
Mimi naishi Mbezi nina jamaa yangu anaishi Kibaha tukiahidiana tukutane mjini Dar tunapishana 30 min tu useme Kibaha ni mbali?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo nimeamini Chanika ilipaswa iwe mkoa wa Pwani.
Angalia picha inajieleza kabisaView attachment 3100573View attachment 3100574
Mkuu balaa.. ndio namalizia kibanda changu yaani nawaza balaa😂Nilienda mara moja nilijuta.
KmUmbali unapimwa kutokea City center mkuu. Maendeleo ni yenye center based (CBD)
Ni kweli Mkuu.Si kweli
Ni umbali wa kawaida sana Kijiografia kutoka city center kwenda Chanika
Mimi huwa nashangaa sana wanaosema Chanika ilitakiwa iwe mkoa wa Pwani.
Kamkoa kenyewe ka Dar kadogo bado watu wanataka kukadogesha.
Huwezi kufananisha na kibaha mzee, kuna haja watu washuke kuchimba dawa kama gari itatokea kariakoo utake usitakeMi wanangu wanaoishi huko tukiwa tunaagana huwa nawatania “oya jamaa msisahau kubeba mikate” basi huwa wanacheeka wasijue huwa namaanisha.
Ogopa sana safari na Eicher unakaa barabarani 2hrs huku inatembea maana kule ukitoka kipande cha Gongo la Mboto hakuna jam ni bus kutembea tu
KmUmbali unapimwa kutokea City center mkuu. Maendeleo ni yenye center based (CBD)
Ni kweli MkuuSi kweli
Ni umbali wa kawaida sana Kijiografia kutoka city center kwenda Chanika
Mimi huwa nashangaa sana wanaosema Chanika ilitakiwa iwe mkoa wa Pwani.
Kamkoa kenyewe ka Dar kadogo bado watu wanataka kukadogesha.
Hii ndo sababu ya kukaa barabarnj mda mrefu full stop. Kibaha wamekuwa advantaged hapo tu. Juzi nilikwenda pape kongowe.. nilishindwa kuvumilia kumwaga chozi.. aibu!Barabara ya kwenda Kibaha ni njia nane. Kwenda Chanika sehemu kubwa ni njia mbili.
Hizo sehemu ukiwa mpenda utulivu na maendeleo huwezi kuishi.Umesema vyema HAKUFAI
Kifupi wilaya ya Temeke na Ilala zimekaa kiswahili sana
Sio sehemu za kuishi
Mbagala December inaanza so naamini before 2025 Chanika itakua tamu ya kuombes kura hiyo.Mkuu balaa.. ndio namalizia kibanda changu yaani nawaza balaa😂
Nadhani inayofuata ni ruti ya tazara to ubungoMbagala December inaanza so naamini before 2025 Chanika itakua tamu ya kuombes kura hiyo.
Sasa si ndio itaunga na iyo?Nadhani inayofuata ni ruti ya tazara to ubungo
ulienda kutafuta nini?Nilienda mara moja nilijuta.
Kuna manzi ilikua pale Nguvukazi dispensary.ulienda kutafuta nini?
nipangisheMkuu balaa.. ndio namalizia kibanda changu yaani nawaza balaa😂
Hizo sehemu ukiwa mpenda utulivu na maendeleo huwezi kukaa
Maana hata hao maskini wenye nyumba chumba kimoja na sebule ambayo hawajaimaliza wakimuona mwenzao mwenye nyumba size hiyo hiyo katoboa mpaka plaster wanamchawia,sasa uende wewe ukajenge mansion na fence juu,hamtaelewana wanaweza hata wakakuuwa