#COVID19 Chanjo ni kinga dhidi ya maradhi. Kama chanjo ya Uviko-19 sio kinga kwa 100% kwanini tuipigie debe kwa nguvu? Tutakukumbuka hayati JPM

Nasema hivi vibaraka wa mabeberu pigieni chapuo chanjo isiyo na ufanisi ili mpate bil 102. Shutup.

Hiyo chanjo mnatetemeka nayo nyie nyie mliokuwa mnajifanya kuipinga kipindi cha yule ibilisi.
 

mjifunze kiswahili maladhi ni nini?
 
Hiyo chanjo mnatetemeka nayo nyie nyie mliokuwa mnajifanya kuipinga kipindi cha yule ibilisi.
Sikuelewi msimamo wako upo wapi? Chanzo inafaa? Kama inafaa mbona hata ukichanjwa unatakiwa uvae barakoa, social distance na kupiga nyungu?
 
Pumba tupu.
 
Umelazimishwa?
 
Ficha upumbavu wako
 
Tumkumbuke kwa LIPI?
 
Dunia sasa inafanyiwa rehearsal,watu wanatest mitambo.
 
Acha wajinga waliwe,wakija kushtuka wameshaoza.
 
Wewe umewahi kuona kwenye scientific journal ipi kwamba duniani kuna chanjo ni 100% effective?? where??
Effectiveness ya chanjo haipatikani kwenye scientific journal, Ila kwenye mwili wa muhusika, ukichanjwa na haupati maradhi ni uhakikisho wa 100% effectiveness
 

Bull crap!! Huna unachojua hata hayo unayosema umeyaelewa vibaya sababu ya kuwa na kizungu katika level ya chini kabisa!!

Huvai barakoa halafu unasema “tuendelee kuvaa….”???!!! Wewe endelea kupuuza barakoa na hata chanjo. Ulianza na kusema hatuna corona nchini, ukahamia kusema chanjo zinabadilisha DNA (sasa una mashaka kama zinafanya kazi). Kumbe hujui kuwa kuchanjwa au kutochanjwa hakuna dalili ya nje na wote tukivaa, wafaidika wakubwa ni wale ambao hawajachanjwa??

Taarifa: Chanjo haizuii maambukizi (barakoa inazuia) na chanjo inazuia kuumwa na hata kufa (mambo ambayo barakoa haizuii).

Ondoa ujinga!!
 
Nini maana ya chanjo kutokuwa ni 100 percent? hizi tofauti za viwango vya asilimia kwenye chanjo zina maana gani?
Hayo mambo yameshaelezwa kwa kurudiwa sana humu jukwaani, nyie anti vaxxers vilaza ni wasumbufu tu.
 
''Maladhi'' ni nini? Kuandika kiswahili kunakushinda halafu unataka kujibebesha utaalam usioweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…