Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #61
We pumbavu, kama chanjo ya Polio ingekuwa na uwezo wa 70 % leo hii tungekuwa wapi?Hayo mambo yameshaelezwa kwa kurudiwa sana humu jukwaani, nyie anti vaxxers vilaza ni wasumbufu tu.
Ulivyo mjinga na mshamba na limbukeni unadhani kuwa mwanamme ndiyo kujua kujenga hoja? Lack of exposure is killing you! Unadhani kuniita mwanamke ndiyo umenitusi au umenishinda? Ungejua navyowaheshimu kina mama ungetafuta njia nyingine ya kuni-insult kwani hapa naona ni kama umenifia.Acha kudandia hoja za wanaume
We yanakuhusu haya>Tetesi: - Mashauzi Modern Taarabu kumsajili Msemaji (Mstaafu)
Sikuelewi msimamo wako upo wapi? Chanzo inafaa? Kama inafaa mbona hata ukichanjwa unatakiwa uvae barakoa, social distance na kupiga nyungu?
Kuna ushahidi wa kisayansi wenye kuonesha barakoa inazuia maambukizi?Bull crap!! Huna unachojua hata hayo unayosema umeyaelewa vibaya sababu ya kuwa na kizungu katika level ya chini kabisa!!
Huvai barakoa halafu unasema “tuendelee kuvaa….”???!!! Wewe endelea kupuuza barakoa na hata chanjo. Ulianza na kusema hatuna corona nchini, ukahamia kusema chanjo zinabadilisha DNA (sasa una mashaka kama zinafanya kazi). Kumbe hujui kuwa kuchanjwa au kutochanjwa hakuna dalili ya nje na wote tukivaa, wafaidika wakubwa ni wale ambao hawajachanjwa??
Taarifa: Chanjo haizuii maambukizi (barakoa inazuia) na chanjo inazuia kuumwa na hata kufa (mambo ambayo barakoa haizuii).
Ondoa ujinga!!
Nijibu au nioneshe huko palipojibiwa hicho nilichouliza.Hayo mambo yameshaelezwa kwa kurudiwa sana humu jukwaani, nyie anti vaxxers vilaza ni wasumbufu tu.
Inaweza kuwa ni tatizo la akili muda wote kuhisi unawindwa tu. Siamini hata kama hiyo electromagnetism unaielewa inahitaji nini ili kuwepo!Chanjo ya corona ni biashara yenye ujasusi ndani yake.
Ni chanjo ya mwendokasi ambayo lengo lake sio kukukinga na corona. Ina kazi tofauti ndani ya mwili.
Hapa madalali wa chanjo watakuja kufoka balaa, lakini huo ndio ukweli. Hizi sio chanjo, ni maji yenye chuma ndani yake.
Hizi ni electromagnetic vaccines zenye malengo ya kuwatawala watu kwa mifumo ya kompyuta. HIZI SIO CHANJO, NI MATAKATAKA.
Na kila mwenye akili timamu atazikataa na kuzipinga.
Ukianza dozi ya AIDS hutakiwi 'kushiriki' bila kinga kuepusha maambukizi mapya. Tunaweza kwenda na mtazamo huohuo kwa sababu hawa virus wanakuwa transformed at a tyme.Tumeambiwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa kuwa chanjo ya Jonhsonjonhson ni super shot. Maana yake unadungwa shot moja na unakuwa umepata kinga.
Wanaoinadi wanatuchanya zaidi kwa kutoa maelezo kuwa hata kama ukipata chanjo hiyo lazima ubaki ukichukua tahadhari kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano.
Kama hii chanjo ya Johson and Jonhson ni kinga dhidi ya malazi. Kwa nini tuendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari baada ya kuchanja?
Taifa la Tanzania litamkumbuka hayati JPM. Maana hakupenda tuingizwe mkenge kisa tu misaada.
Huyo kenge nlishamuignore kitambo, hanaga hojaWe mavi huwezi kujua kitu.
Hata wewe umechapia tena, aliandika malazi badala ya maradhi.Rubbish from a rabid mind! Maladhi Ni Nini?
Mkuu kama umeshindwa kuwa na uelewa wa jambo dogo kabisa kama hilo,inamaanisha you know nothing in this regard. 🤣 🤣 🤣 Ndo ukweli wenyeweEffectiveness ya chanjo haipatikani kwenye scientific journal, Ila kwenye mwili wa muhusika, ukichanjwa na haupati maradhi ni uhakikisho wa 100% effectiveness
Kosa lipo wazi na halina shida.Hata wewe umechapia tena, aliandika malazi badala ya maradhi.
Tena muulize, kwani askari wakivaa bullet proof vest vitani hawajifichi?!Ukianza dozi ya AIDS hutakiwi 'kushiriki' bila kinga kuepusha maambukizi mapya. Tunaweza kwenda na mtazamo huohuo kwa sababu hawa virus wanakuwa transformed at a tyme.
Mimi nina akili timamu na nimekwishachanja. Kwenye suala la chanjo kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe.Chanjo ya corona ni biashara yenye ujasusi ndani yake.
Ni chanjo ya mwendokasi ambayo lengo lake sio kukukinga na corona. Ina kazi tofauti ndani ya mwili.
Hapa madalali wa chanjo watakuja kufoka balaa, lakini huo ndio ukweli. Hizi sio chanjo, ni maji yenye chuma ndani yake.
Hizi ni electromagnetic vaccines zenye malengo ya kuwatawala watu kwa mifumo ya kompyuta. HIZI SIO CHANJO, NI MATAKATAKA.
Na kila mwenye akili timamu atazikataa na kuzipinga.
Acha kupanik, taifa linamkumbuka JPMMsimamo wangu ni kuwa mkumbuke dhalimu ww kimpango wako.
Linamkumbuka kwa lipi?Wadudu wanajilia saa hizi.Acha kupanik, taifa linamkumbuka JPM
Nakushauri Rudi kwanza kijijini kwenu wewe kwa huu mwandiko mjini hapakufai wasalimie kolomijeTumeambiwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa kuwa chanjo ya Jonhsonjonhson ni super shot. Maana yake unadungwa shot moja na unakuwa umepata kinga.
Wanaoinadi wanatuchanya zaidi kwa kutoa maelezo kuwa hata kama ukipata chanjo hiyo lazima ubaki ukichukua tahadhari kama kuvaa barakoa, kunawa mikono na kuepuka misongamano.
Kama hii chanjo ya Johson and Jonhson ni kinga dhidi ya malazi. Kwa nini tuendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari baada ya kuchanja?
Taifa la Tanzania litamkumbuka hayati JPM. Maana hakupenda tuingizwe mkenge kisa tu misaada.
Bwege kubwa wewe.Nakushauri Rudi kwanza kijijini kwenu wewe kwa huu mwandiko mjini hapakufai wasalimie kolomije
Kaa kwa kutulia sasa mbona unateseka wakati umeshadungwa machanjo?Mimi nina akili timamu na nimekwishachanja. Kwenye suala la chanjo kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe.
Mbuzi wa kafara huwa hawakosekani!Acha wajinga waliwe,wakija kushtuka wameshaoza.