#COVID19 Chanjo ni kinga dhidi ya maradhi. Kama chanjo ya Uviko-19 sio kinga kwa 100% kwanini tuipigie debe kwa nguvu? Tutakukumbuka hayati JPM

Hakika
 
Acha kupanik, taifa linamkumbuka JPM

Sio taifa, sema serikali ya majizi ya kura na wafuasi wake. Mimi simkumbuki, zaidi ya kumshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
 

COVID SCIENCE: Heart attack, stroke risks climb after COVID-19​

Heart attack, stroke risks rise in COVID-19 patients

COVID-19 increases patients' risks for heart attack and stroke, suggests a study from Sweden that compared 86,742 individuals infected with SARS-CoV-2 in 2020 and 348,481 people without the virus. In the week following a COVID-19 diagnosis, the risk of a first heart attack went up three- to eight-fold, and the risk of a first stroke due to a blood-vessel blockage rose three- to six-fold, the researchers found.
 

Hakuna chanjo yeyoye ambayo inakinga kwa 100% 😂😷
 
Tutamkumbuka kwa tafiti gan aliyoifanya??
 
[QUOTE="The Boss, post: 39858362, member: 18247
Duniani hakuna chanjo ambayo ni 100 percent
[/QUOTE]
Chanjo dhidi ya ndui ni 100% effective! Kizazi cha leo hakijawahi kuona ndui!! Chanjo dhidi ya corona ni usanii wa kimataifa wa karne ya 21! Covid 19 ni ugonjwa wa kawaida wa mafua!! Unatumika tu kufikia malengo ya mabeberu ya kupiga pesa!! Hakuna vifo vya corona per se! Watu wanakufa kwa magonjwa mengi inasakiziwa çorona!! Mjue Mungu anawaona! Ugonjwa gani hauonekani mpaka mtu aseme kuna corona na ghaffa unaonekana! Ukisema ugojwa haupo, kweli unakuwa haupo!! Jkisema ugonjwa upo kweli ghafla unakuwepo! Sijui nani katuloga!!
 

Msiishie kumkumbuka tu hamieni huko aliko kabisa mkamsaidie kuwatoa ushamba malaika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…