Chanjo ya Corona ikitolewa kwa hiyari, tutakula hasara

Chanjo ya Corona ikitolewa kwa hiyari, tutakula hasara

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Ni kwa muda sasa kumekuwa na mjadala kuhusu chanjo ya corona ambayo inawezekana kwa sababu za kisiasa, wameamua kusema kuwa ni hiyari. Ili watu wasione ubaya wa kuchoma. Lakini naomba ni waambie ikiwa ni ya hiyari, tutakula hasara

Hasara ya chanjo kuwa hiyari
  1. Chanjo tunanunua na kuongezewa fedha kidogo za msaada, ikiwa hiyari watu hawatachoma, zitaexpire na tutaishia kuziteketeza kitu ambacho itakuwa tumepoteza hela ambazo tumezitumia kununulia. Nchi kadhaa wameshateketeza chanjo kwa ku-expire
  2. Lazima tuwe na vituo na watumishi. Mtumishi kukaa sehemu kusubiri mtu aje kwa hiyari siku nzima anaweza kuchoma watu wawili kitu ambacho ni hasara, kwa kuwa tunaingia gharama kuwaweka watumishi hao na costs nyingine
Maoni
Serikali iweke wazi kuwa chanjo ni lazima au tuagize kidogo ya kukaa viwanja vya ndege kwa ajili ya wasafiri ambao nchi wanazotaka kwenda zinahitaji waliochoma chanjo tu

Signed
OEDIPUS
 
WANACHAMA WA CHADEMA KIONGOZI WAO ALIISHACHOMWA HIVYO WANACHAMA WOTE WATACHOMWA.
PILI..serikali kwa kuwa ni ya ccm basi wanaccm wote watachomwa.
Tatu:Madr..wanajeshi..polisi na wazee lazima wachomwe
 
Hatutaki serikali iagize waachie hilo jukumu hospitali binafsi ndio waagize anayetaka chanjo aende huko na waanze wanasiasa kwanza na wanaotaka kwa hiari yao.

Wahudumu wa afya wasichanjwe wapewe tu vifaa vya kujikinga wanapohudumia wagonjwa wa korona.

Majeshini marufuku hii chanjo iko kwenye majaribio jeshini sio sehemu ya kujaribia dawa
 
mi kwanza hiyo Corona yenyewe naisikia kwenye taarifa za habari tu sijasikia ndugu,rafiki,jirani wala mtu yeyote ninayemfahamu aliyekufa kwa huo ugonjwa kwahiyo kunichoma sindano ya chanjo wanahitajika wanajeshi kama watano wanikamate kwa nguvu ndo nitachomwa.
 
mi kwanza hiyo Corona yenyewe naisikia kwenye taarifa za habari tu sijasikia ndugu,rafiki,jirani wala mtu yeyote ninayemfahamu aliyekufa kwa huo ugonjwa kwahiyo kunichoma sindano ya chanjo wanahitajika wanajeshi kama watano wanikamate kwa nguvu ndo nitachomwa.
KORONA iko ni ugonjwa wa kufikirika na kujitungia anaojitungia mama samia ikulu na viongozi wenzie wa kisiasa na vibarakoa vyao
 
WANACHAMA WA CHADEMA KIONGOZI WAO ALIISHACHOMWA HIVYO WANACHAMA WOTE WATACHOMWA.
PILI..serikali kwa kuwa ni ya ccm basi wanaccm wote watachomwa.
Tatu:Madr..wanajeshi..polisi na wazee lazima wachomwe
Ng'ang'ana na chadema na mbowe, mbowe hata kusaidia matatizo yako yako ya akili uliyonayo.
 
Mama kwenye hili katumia akili, anayechanjwa akachanjwe kwa sababu. Kama halazimiki na haoni umuhimu aachane nayo.

Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ukweli ni kwamba mama ameona,aikubali chanjo ili aepukane na tashishi za wazungu,lakini ukweli anajua kabisa Tanzania hatuna haja ya chanjo zao.sote tunajua ameikubali kwa kuzugia,Sasa ili asivuje vikodi vyetu tulivyo hamasika kuilipa sirikali yetu ,na vingine tukabanwabanwa na tiaraei ndo tukalipa,Basi aagize vichanjo kiduchu aweke sehemu ambazo wazungu wanaingia na kutoka ,viwanja vya ndege tu basi.kaujanja unakotaka kuwazuga wazungu na kuepukana na nongwa zao,tumekusoma,lakini nasema lakini!, Usiagize mishehena ya cargo za michanjo hii ya kipuuzi,chonde mama utakuwa umetukosea Sana ss walipa Kodi.ova.
 
Hatutaki serikali iagize waachie hilo jukumu hospitali binafsi ndio waagize anayetaka chanjo aende huko na waanze wanasiasa kwanza na wanaotaka kwa hiari yao.

Wahudumu wa afya wasichanjwe wapewe tu vifaa vya kujikinga wanapohudumia wagonjwa wa korona.

Majeshini marufuku hii chanjo iko kwenye majaribio jeshini sio sehemu ya kujaribia dawa
Kuepuka hasara, hii inaweza kufanya kazi,

Hofu ni ileile tu kwamba kama hospitali binafsi zitaagiza mara ya kwanza zikaexpire bila kutumika, mara ya pili na ya tatu watakuwa wameingia hasara pia

Serikali iagize kutokana na order iliyopo, i.e mahujaji wangapi wanataka, watu wangapi wanataka kusafiri kwenda nchi ambazo hauingii bila chanjo, then wazilete kwa namba hiyo ili kuwa optimum
 
WANACHAMA WA CHADEMA KIONGOZI WAO ALIISHACHOMWA HIVYO WANACHAMA WOTE WATACHOMWA.
PILI..serikali kwa kuwa ni ya ccm basi wanaccm wote watachomwa.
Tatu:Madr..wanajeshi..polisi na wazee lazima wachomwe
Umeandika ufala pro max 11
 
KORONA iko ni ugonjwa wa kufikirika na kujitungia anaojitungia mama samia ikulu na viongozi wenzie wa kisiasa na vibarakoa vyao
Hivi wewe unaufahamu uliotimia? Unaamini kwamba Corona ni ugonjwa wa kufikirika? Kwa hiyo Dr. Mpango na wengine waliougua na wengine wamekufa na unawajua walitudanganya?
 
Huna akili wewe... kwani walishakwambia wataileta kwa utaratibu gani na kuitoa (kuchanja) kwa mpango wa namna gani?
 
Binafsi siwezi kuchanja.
kama alivyo sema Rais wa Zanzibar Dr. Hussein kuwa chanjo ni hiari anaye taka kuchanja sawa asiye taka halazimishwi.
 
HUo ni ugonjwa wa ikulu na wanasiasa ndio maana unaoona wanashindana kuvaa vibarakoa

mitaani haupo
Nadhani unaelewa kuwa ugonjwa huu unaathiri zaidi watu wa namna gani.
Wenye matatizo ya moyo ni mojawapo nadhani matokeo umeyaona kama u avyosema ikulu.
 
Ukweli ni kwamba mama ameona,aikubali chanjo ili aepukane na tashishi za wazungu,lakini ukweli anajua kabisa Tanzania hatuna haja ya chanjo zao.sote tunajua ameikubali kwa kuzugia,Sasa ili asivuje vikodi vyetu tulivyo hamasika kuilipa sirikali yetu ,na vingine tukabanwabanwa na tiaraei ndo tukalipa,Basi aagize vichanjo kiduchu aweke sehemu ambazo wazungu wanaingia na kutoka ,viwanja vya ndege tu basi.kaujanja unakotaka kuwazuga wazungu na kuepukana na nongwa zao,tumekusoma,lakini nasema lakini!, Usiagize mishehena ya cargo za michanjo hii ya kipuuzi,chonde mama utakuwa umetukosea Sana ss walipa Kodi.ova.
Sawa kabisa hilo uliloainisha ni eneo moja la pili nionavyo mimi ni kuna watz pia wapo nao wanaitaka hiyo chanjo kipindi cha mzee magu alipoitilia shaka walipiga kelele sana kwamba kwa nini isiletwe, kwa hiyo alichofanya bi mkubwa mama samia ni kutoa fursa kwa wote.
Bravo bi mkubwa.
 
Hatununui hizo chanjo... Tunapatiwa kama msaada kwa ajili ya majaribio...
 
Back
Top Bottom