#COVID19 Chanjo ya COVID-19: Watanzania hatujawahi kuchomwa chanjo kwa kujaza fomu kuiepusha Serikali na lawama za madhara

Chanjo imekua balaa, saivi wanafunzi wakiona tuu cruiser nyeupe inakatiza shuleni wanakimbilia home fasta kusema kuwa wamekuja kuchanjwa, na wazazi wanaliamsha kwelikweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…