#COVID19 Chanjo za corona zimehakikiwaje?

wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
 
Uspate shida mkuu hizo zimepimwa kutokakana na wingi wa midola iliyokuja nazo
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
 
Majibu yako hapo chini
 
N Ngumbaru Kama nyie mnapotosha kwa faida ya Nani?
 
Me nasubiri huko ilikoanzia chanjo watangaze Covid Imeisha nikachanje fast

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
uko sahihi, kupokea msaada wa chanjo ya UVIKO kutoka kwa mabeberu ni sawa na kupokea zawadi ya nguo kutoka kwa mtu aliye uchi, yaani mataifa yao yako bize kufukia watu waliofariki kutokana na CORONA then they turns back to Africa kutupa medical aids, eti chanjo, unachoma chanjo na unaweza kuambukiza wengine, unachoma chanjo na huwezi kutembea bila barakoa, unachoma chanjo na unaweza kuambukizwa!, hii mmesikia wapi!?

na ile fomu ya kujaza kama makubaliano ya kupokea chanjo ni yaniin!?, kwaniin iwe na terms za ku-mcondition mtu kuwa madhara yatakayojitokeza serikali haitahusika, Kwaniin serikali imejitoa kwenye hilo??,,

kwaniin unachanjwa na unaweza kupata CORONA??

Kwaniin unapochomwa chanjo taarifa automatically zinaonyesha kuwa umeshachanj??,

Je serikali ya mabeberu imefanikiwa kuwatibu watu wao mpaka kutupa sisi msaada wa chanjo??
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
Nakuona dalali wa machanjo unapambana kutupia nyavu ili maboya wanase.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…