Tetesi: Chanjo za Corona zimetua nchini rasmi

Tetesi: Chanjo za Corona zimetua nchini rasmi

MIMI NITACHANJWA. KAMA WEWE HUTAKI HUO NI UAMUZI WAKO.

KILA MTU AHESHIMU UAMUZI WA MWENZAKE.

CHANJO NI HIYARI!
 
Ahahahaahaha,naanza kuelewa sasa Mkapa kwa nini alikuwa wa kwanza kwenye most wanted
Mkapa hakuwa na tatizo na mabeberu kwanza yeye ndiyo alikuwa mtatuzi mkubwa wa migogoro iliyo kuwa kati ya Mwendazake na mabeberu, nadhani Mwendazake alimchomoa baada ya kuona anamuingilia sana kwenye mishe zake.
 
Swali langu lilikua dogo tu...Jiwe yupo wapi?
 
Sasa hapo umeletewa wewe au raia wa kigeni na balozi zao wameruhusiwa kuingiza chanjo?

We ulitakaje kwani, kwa sababu wewe uliaminishwa kuwa chanjo ni kutaka kukuua wakushinde vita ya kiuchumi basi hata raia wa kigeni walioko Tz wasichanjwe? We vipi wewe?

Kuna mtu amekupeleka kwapa lako likachanjwe? Si ukae Kimya chato huko sijui wapi uache anaetaka kuchanjwa na achanjwe, au raia wa marekani akichanjwa pale ubalozini kwao inakuathiri na wewe kwenye bega lako unasikia maumivu?
 
Kifungu cha mwisho kinataja uletwaji wa chanjo kwa balozi,wakazi/wafanyakazi wa jumuiya za kimataifa...

Walengwa sio watanzania
 
Sasa hapo umeletewa wewe au raia wa kigeni na balozi zao wameruhusiwa kuingiza chanjo?

We ulitakaje kwani, kwa sababu wewe uliaminishwa kuwa chanjo ni kutaka kukuua wakushinde vita ya kiuchumi basi hata raia wa kigeni walioko Tz wasichanjwe? We vipi wewe?

Kuna mtu amekupeleka kwapa lako likachanjwe? Si ukae Kimya chato huko sijui wapi uache anaetaka kuchanjwa na achanjwe, au raia wa marekani akichanjwa pale ubalozini kwao inakuathiri na wewe kwenye bega lako unasikia maumivu?
Jibu swali:

Kama chanjo ni kitu chema, kwanini imeingizwa kinyemela?
 
Tutajuaje kamba chanjo zimeingia bila kupata taarifa rasmi ya umma?

Hako kahabari wamekaposti facebook huko kwenye kaukurasa cha Gerson Msigwa!

Watu watajuaje?
Usiwe na haraka habari kamili zitapatikana katika muda sahihi.
 
Mbona chanzo ulichoweka hakijasema kama chanjo tayari zimeletwa?
Na kadri ya habari hakuna mahali imesemwa kuwa serikali imeaagiza/itaagiza chanjo kwa ajili ya watanzania isipokuwa imeruhuru ofisi za balozi na taasisi za kimataifa kuagiza na kuchanja raia wa nchi zao na wafanyakazi wa ofisi zao ili kuendana na taratibu zilizopo katika nchi zao(NB chanjo hizo zitaletwa kwa utaratibu chini ya wizara ya afya nchini)
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi wanipe kazi ya kuwashika matkle bavicha wanapochanjwa ili chanjo ziwe zinapenya vizuri zaidi
Hahahaaa...

Mwenyekiti wao ashadungwa yale machanjo yanaitwa astrazeka sijui!

Anabwatuka tu majukwaani siku hizi, na si ajabu damu imeshaganda kwenye ubongo!
 
Jibu swali:

Kama chanjo ni kitu chema kwanini imeingizwa kinyemela?
Zimeingizwa kinyemela vipi? Yaani hadi Ikulu kutoa waraka kufafanua na kuelezea bado unasema kinyemela? Ulitaka iweje kwani ndio usione kinyemela?
 
Zimeingizwa kinyemela vipi? Yaani hadi Ikulu kutoa waraka kufafanua na kuelezea bado unasema kinyemela? Ulitaka iweje kwani ndio usione kinyemela?
Kwanini iwe wakati huu wa drama za sabaya?

Hawajiamini ama?
 
Back
Top Bottom