Tetesi: Channel Ten hoi kifedha, mishahara yakosekana miezi miwili

Tetesi: Channel Ten hoi kifedha, mishahara yakosekana miezi miwili

mdhalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
282
Reaction score
273
Wadau hali ya kiuchumi kwa makampuni binafsi ni tete sana. Taarifa za kuaminika kutoka Channel Ten zinadai kuwa Hali ya kampuni hiyo ni mbaya na wafanyakazi wamekaa miezi miwili sasa bila mshahara.
Sababu za hali hiyo ni kushuka kwa mapato kutokana na makampuni makubwa kusitisha matangazo yao kutokana na ukata. Makampuni ya Mabango pia yanatajwa kuwa katika hali ngumu.
 
Hii ndo channel ya ovyo kuliko zote nchi hii, Kazi kujikomba tu kila uchao. Wakaombe wanakopeleka mboga kila siku. Yaani niitwe niitwavyo lakini channel 10 kufa ni mojawapo kati ya maombi ambayo tukiambiwa tumuombee fulani Mimi huwa naomba kifo cha channel 10.
 
Ina wafanyakazi wangapi? Waende lumumba kuna pesa ya kununua madiwani na wabunge wawanunue na wao au wao hawanunuliki? Au makwai na mkinga hawana pesa from lumumba sababu ndiyo uwanja wao wa propaganda sasa wataishi vip mjini kama hiyo channel haipo?
Hahahahaha. Mzee Mkinga siku hizi kapotelea wapi.
 
Hiyo si ndiyo channel ambayo inaogopa kuusema ukweli kwa ajili ya kuogopa kuambiwa wachochezi??

Watu weshaikimbia kuiangalia hiyo channel, sasa unategemea kweli waleta matangazo waendelee kuleta matangazo yao hapo??

Kila siku kutangaza propaganda za CCM tu....

Sasa waende Lumumba wakawasaidie kulipa mishahara ya wafanyakazi, kwa kuwa weshawafanyia kazi yao ya kuwatangazia propaganda
 
Wadau hali ya kiuchumi kwa makampuni binafsi ni tete sana. Taarifa za kuaminika kutoka Channel Ten zinadai kuwa Hali ya kampuni hiyo ni mbaya na wafanyakazi wamekaa miezi miwili sasa bila mshahara.
Sababu za hali hiyo ni kushuka kwa mapato kutokana na makampuni makubwa kusitisha matangazo yao kutokana na ukata. Makampuni ya Mabango pia yanatajwa kuwa katika hali ngumu.

Kumbe ndiyo maana hata siku hizi mwana ' Obey ' mwenzangu ' Brazameni ' Niki Ngonyani wa Mtaa wa Mkadini zile ' bata ' zake za fujo sizioni tena. Ina maana Boss Lady wao Madam Dinah Chahali ameshindwa kabisa kuliokoa ' Jahazi ' lake la African Media Group lisizame? Ila hawa si wana Urafiki mzuri na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda kwanini sasa wasiombe msaada Kwake ili awasaidie hata kuwakopea tu kwa ' Matajiri ' marafiki zake?
 
Afrika Media Group (Channel 10) ni ya Rostam Aziz.

Pale kamweka Meneja anaitwa SAKINA, Mwanadada mswahilina flani.

Huyu Dada yupo vizuri ila wanafukuza wafanyakazi bila kufuata taratibu wakishirikiana na kampuni ya Mawakili Uchwara KARIWA & Co. ADVOCATES.

Huyo wakili amesababisha kesi za wafanyakazi kwenda vibaya, wakienda CMA wana bagein na msuluhishi mfanyakazi unapewa kiasi kidogo tu, then wao wanakula ile iliyobaki,.


Serikali ichunguze hii kampuni ya uwakili uchwara.
 
Lazima hali iwe ngumu channel toka enzi hizo hadi sasa hivi mambo yaleyale wabadilike hili kwa local channel nyingi hasa hizi kongwe kama wakina Itv channel ina picture quality ileile tokea enzi hizo za miaka 90
 
Ina wafanyakazi wangapi? Waende lumumba kuna pesa ya kununua madiwani na wabunge wawanunue na wao au wao hawanunuliki? Au makwai na mkinga hawana pesa from lumumba sababu ndiyo uwanja wao wa propaganda sasa wataishi vip mjini kama hiyo channel haipo?
Makwaia yule mzee siwezagi kumsikiliza kabisaaa hana utulivu kabisaa na akili zake haziko sawa 'upstairs",samahanini lkn.
 
unashangaa chanel 10??waulize Star tv wanadai zaidi ya Mwaka mmoja jamaa hashtakiki amashika hatamu anasubiri wajilipue.
 
Lakini jamani tuseme ukweli maisha yamekua magumu mno kwa majority ya watanzania sijui nini kifanyike..
 
Back
Top Bottom