mdhalendo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 282
- 273
Wadau hali ya kiuchumi kwa makampuni binafsi ni tete sana. Taarifa za kuaminika kutoka Channel Ten zinadai kuwa Hali ya kampuni hiyo ni mbaya na wafanyakazi wamekaa miezi miwili sasa bila mshahara.
Sababu za hali hiyo ni kushuka kwa mapato kutokana na makampuni makubwa kusitisha matangazo yao kutokana na ukata. Makampuni ya Mabango pia yanatajwa kuwa katika hali ngumu.
Sababu za hali hiyo ni kushuka kwa mapato kutokana na makampuni makubwa kusitisha matangazo yao kutokana na ukata. Makampuni ya Mabango pia yanatajwa kuwa katika hali ngumu.