Tetesi: Channel Ten hoi kifedha, mishahara yakosekana miezi miwili

Hapo kwenye mabango ndo noma mkuu! anzia mjini mpaka bunju hakuna tangazo lolote kwenye bango yamebakia machuma tu
 
Channel 10 hata kama pesa ikiwepo matangazo yao ni kama kituo cha mafunzo kwa wanahabari.

Huwezi kuamini kama ni Kituo cha Runinga, yaani wana mzaha mwingi.
 
Wamekosa ubunifu mbona wenzao itv matangazo yanaongezeka mpaka inakuwa kero kwa watazamaji
 
TBC je?
 
Sasa si waongee na Humphrey POLEPOLE awatolee hela kwenye fungu la propaganda la CCM mana kipindi kile Polepole kila TV haitaki kumuona ila Channel 10 kwa uungwana wao walimchukua Polepole nasikia hadi wakampa na Chumba chake hapo Ch10
 
suala la mishahara kwa sasa sio channel ten tu,makampuni mengi sasa hivi yameyumba kimapato,sasa hivi kama unadai mshahara unaambiwa vumilia utalipwa tu,
 
unashangaa chanel 10??waulize Star tv wanadai zaidi ya Mwaka mmoja jamaa hashtakiki amashika hatamu anasubiri wajilipue.
Kwa star tv sishangai nasikia ni kawaida yao kulipwa mshahara tarehe 72....hahhahahahah
 
Katika Channel za TV za hovyo Channel Ten inaongoza yan hawapo makini kbs .. unakuta kipindi kinaendelea unasikia watu wanaongeleshana studio dah hata taarifa yao ya habari green screen yao ni ya hovyo mtu anaonekana wa kijani kbs .. wako so reckless kwa kila kitu sishangai hata DSTV wanaiachaga km free channel kifurushi kikikata coz wanajua hautagain chochote
 
Lol....na ndoa zitayumba sasa vijana machinga watajibebea tu wake zetu kiulaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…