pingu mkoka
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 434
- 112
Hapo kwenye mabango ndo noma mkuu! anzia mjini mpaka bunju hakuna tangazo lolote kwenye bango yamebakia machuma tuWadau hali ya kiuchumi kwa makampuni binafsi ni tete sana. Taarifa za kuaminika kutoka Channel Ten zinadai kuwa Hali ya kampuni hiyo ni mbaya na wafanyakazi wamekaa miezi miwili sasa bila mshahara.
Sababu za hali hiyo ni kushuka kwa mapato kutokana na makampuni makubwa kusitisha matangazo yao kutokana na ukata. Makampuni ya Mabango pia yanatajwa kuwa katika hali ngumu.
NdioNa yenyewe ni ya IPP au mmiliki ni mwingine?
Diallo atakua bado kwenye uhakikiunashangaa chanel 10??waulize Star tv wanadai zaidi ya Mwaka mmoja jamaa hashtakiki amashika hatamu anasubiri wajilipue.
Uchumi umekuadr mpango anasemaje apo
TBC je?Hii ndo channel ya ovyo kuliko zote nchi hii, Kazi kujikomba tu kila uchao. Wakaombe wanakopeleka mboga kila siku. Yaani niitwe niitwavyo lakini channel 10 kufa ni mojawapo kati ya maombi ambayo tukiambiwa tumuombee Fulani Mimi huwa naomba kifo cha channel 10.
IPP ina vitu viwango sio ujinga ww...Na yenyewe ni ya IPP au mmiliki ni mwingine?
Kwa star tv sishangai nasikia ni kawaida yao kulipwa mshahara tarehe 72....hahhahahahahunashangaa chanel 10??waulize Star tv wanadai zaidi ya Mwaka mmoja jamaa hashtakiki amashika hatamu anasubiri wajilipue.
Lol....na ndoa zitayumba sasa vijana machinga watajibebea tu wake zetu kiulainiWadau hali ya kiuchumi kwa makampuni binafsi ni tete sana. Taarifa za kuaminika kutoka Channel Ten zinadai kuwa Hali ya kampuni hiyo ni mbaya na wafanyakazi wamekaa miezi miwili sasa bila mshahara.
Sababu za hali hiyo ni kushuka kwa mapato kutokana na makampuni makubwa kusitisha matangazo yao kutokana na ukata. Makampuni ya Mabango pia yanatajwa kuwa katika hali ngumu.
usitumie lugha jumuishi si vyema sana.Lol....na ndoa zitayumba sasa vijana machinga watajibebea tu wake zetu kiulaini