kunze JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 398 Reaction score 469 Mar 27, 2018 #41 Stanley Mitchell said: Sasa si waongee na Humphrey POLEPOLE awatolee hela kwenye fungu la propaganda la CCM mana kipindi kile Polepole kila TV haitaki kumuona ila Channel 10 kwa uungwana wao walimchukua Polepole nasikia hadi wakampa na Chumba chake hapo Ch10 Click to expand... [emoji2] [emoji1] hahaha....lol jamani,hichonchumba akawa anafanyia nini? Hiyo TV aulizwe vema Ramesh Patel anajua maana ni mmoja wa maMD hapo
Stanley Mitchell said: Sasa si waongee na Humphrey POLEPOLE awatolee hela kwenye fungu la propaganda la CCM mana kipindi kile Polepole kila TV haitaki kumuona ila Channel 10 kwa uungwana wao walimchukua Polepole nasikia hadi wakampa na Chumba chake hapo Ch10 Click to expand... [emoji2] [emoji1] hahaha....lol jamani,hichonchumba akawa anafanyia nini? Hiyo TV aulizwe vema Ramesh Patel anajua maana ni mmoja wa maMD hapo