Channel Ten plus mna matatizo gani?

Channel Ten plus mna matatizo gani?

Mama Mwana

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2023
Posts
2,435
Reaction score
7,784
Hello guys!!

Yani naomba niweke wazi mimi sichukii dini ya mwengine lakini kwa hili la channel ten plus you guys sjui mlifikiria nini.

Kunaye huyo mchungaji ni anaoga tope anagara gara, anaoga vumbi, anaoga maji ya kwenye pipa na suti yake, mnaomiliki hii channel mlifikiria kama kuna sisi watazamaji mnatukera?

Kibaya zaidi mna kipindi mnaendesha kinaitwa chachandu kinakuwa mchana leo sasa mada ilikua ni kuhusu mishangazi yani like seriously??

Nilikua naipenda kwa sababu napenda music lakini mnaiharibu kutuwekea vitu havina mantiki,fikirieni upya kitu mnafanya na huyo mchungaji wenu mnaye mpa promo.
 
kunaye huyo mchungaji ni anaoga tope anagara gara, anaoga vumbi, anaoga maji ya kwenye pipa na suti yake,
Duuh,
Makubwa hayo.
Tupia clip basi kama unayo.
mnaomiliki hii channel mlifikiria kama kuna sisi watazamaji mnatukera?
Wamiliki wa "Channel Ten" ni chama cha Mbogamboga
 
Duuh,
Makubwa hayo.
Tupia clip basi kama unayo.

Wamiliki wa "Channel Ten" ni chama cha Mbogamboga
wewe iotee tu sina clip, yan mchungaji rupo rafu, anavaa magunia yale ya katani, anachukua mchanga anajimwagia, anagaragara kwenye tope kambare akasome ningekua najua nna ya kuifuta ningeshaidelete siku mingii
 
hello guys!!

yani naomba niweke wazi mimi sichukii dini ya mwengine lakini kwa hili la channel ten plus you guys sjui mlifikiria nini. kunaye huyo mchungaji ni anaoga tope anagara gara, anaoga vumbi, anaoga maji ya kwenye pipa na suti yake, mnaomiliki hii channel mlifikiria kama kuna sisi watazamaji mnatukera? kibaya zaidi mna kipindi mnaendesha kinaitwa chachandu kinakuwa mchana leo sasa mada ilikua ni kuhusu mishangazi yani like seriously?? nilikua naipenda kwa sababu napenda music lakini mnaiharibu kutuwekea vitu havina mantiki,fikirieni upya kitu mnafanya na huyo mchungaji wenu mnaye mpa promo.
La msingi panga ratiba yako Muda WA kuangalia hio channel,vipindi vinakuwa vishapangwa angalia katika channel vizuri....Kinachokukera ww,kinamvutia mwingine
 
La msingi panga ratiba yako Muda WA kuangalia hio channel,vipindi vinakuwa vishapangwa angalia katika channel vizuri....Kinachokukera ww,kinamvutia mwingine
it doesnt make any sense kuangalia huyo pastor wallah nakuapia, yani amekaa kimchongo hivi sikatai lakini i wish umuone tatizo sjui ratiba zao mm hua naswitch channel tu then boom mauza uza
 
Back
Top Bottom