I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Hackers wa India ndio wamemfanyia fujo huko youtube. (IT wa Wcb)Wadukuaji wa bongo jau sana
Badala ya kudukua system za Benki wanadukua akaunti youtube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hackers wa India ndio wamemfanyia fujo huko youtube. (IT wa Wcb)Wadukuaji wa bongo jau sana
Badala ya kudukua system za Benki wanadukua akaunti youtube
Malaya nime kugongea mama yako.Wewe malay hiyo ni biashara kubwa sana diamond hawezi ifanyia ujinga ana contact kubwa kubwa za watu walio serious na biashara huu utumbo wenu peleken uko kwa mapoyoyo wenzenu
WATAWAAMBIA NN WATUHaya acc imerudi.
Imerudi etiView attachment 2200037
Siku mbili tangu akaunti ya YouTube ya Diamond Platnumz iliporipotiwa kudukuliwa, akaunti hiyo imeondolewa na YouTube wenyewe kwa kilichoandikwa kuwa mtumiaji amekiuka masharti ya mtandao huo.
Inadaiwa kuwa baada ya kudukuliwa uongozi wa msanii huyo wa Bongo Fleva ulifanikiwa kuirejesha mikononi mwao lakini wadukuaji walirejea na kuanza kuichezea ndipo YouTube wakaamua kuifuta.
Mkuu wa Digital wa Wasafi afung
Ackim amesema: "Kutokana na Channel ya @diamondplatnumz kudukuliwa Jumapili iliyopita na wadukuzi kuingia Live. Leo Imezuiliwa na YouTube kutokana na maudhui yale kuvunja sheria za YouTube! Tumeshafanya mawasiliano ya awali kutatua tatizo hili. Tuendelee kuwa wavumilivu kila kitu kitakuwa sawa."
Isharudi mbona mzee!Waungwana ni imani yangu mu wazima wa afya naomba kuwasilisha hoja
Ni kwa nini YouTube channel ya Diamond platnums imefungwa
Je itarudishwa na kama ndio ni hatua gani zitachukuliwa
Imerudi lini mkuu, maana naona mpaka BBC wamereportHaya acc imerudi.
Mdaa huu.Imerudi lini mkuu, maana naona mpaka BBC wamereport
Huna unachokijuaTetesi , channel ya you tube ya diamond wamarekani wameipiga chini, hata ukienda kuitafuta Sasa hivi hutaipata.
Tetesi ni kuwa diamond ameviolate na amevunja Sheria na taratibu zote za you tube. Kisa ni kuiba view au view feki Sasa sijui Kama ni kweli au
Ni kweli hiyo ipo sema wakiongea na YouTube Mbona wanamrudishia tu.
Wameishikilia kwa muda.....ila haijafutwa
Mshambiwa ac imerudiAccount ikishakuwa terminated ndo basi tena. Sio kosa la YOUTUBE hilo.
Mshambiwa ac imerudi
Ova
Ukireport youtube wanakusaidia, maswala ya Cybersecurity, user humsaidia provider ktk kuboresha miundombinu yake ya kiusalama,sababu hili halimuumizi Diamond bali hata youtube kwao wanaumia kweni hawajui kesho itakuwa kwa nani, manake wanakosa mapato matangazo hayaendi hewani.Never! Hiyo imekufa mazima. Hapo labda aende ofisi za youtube physicaly akalie kibongo ndo watamuelewa.
Au labels kubwa kama Warner Bros SA au Universal Music waingilie kati ndo wataikomboa. Ila kama anamtumia yule IT wake basi atasubiri hadi Jesus arudi.