Channel za kiislam kuzungumzia zaidi mambo ya ndoa

Channel za kiislam kuzungumzia zaidi mambo ya ndoa

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Mimi ni mpenzi sana wa kutizama channel za waislam hasa TV Imaan na Swahili TV ya mombasa.

Changamoto inayojitokeza ni mijadala inayoendeshwa katika channel hizi mara nyingi huzungumzia mambo ya ndoa.

Kupeana mapenzi moto moto kwa wanandoa (mawarda) na kuoa wake zaidi ya mmoja, kuna wengine suala la kuoa limekuwa changamoto kutokana na changamoto za kiuchumi tulizonazo.

Mfano, unakwenda kuposa, posa inakubaliwa mziki unakuja kwenye mahari, unaambiwa mahari kuubwa mwisho wa siku unaamua kuaga na kutokurudi.

Waja wa allah hasa waendeshaji wa hivyo vipindi punguzeni baadhi yetu tunaumia roho tukiona mnazungumzia mawarda...😁😁
 
Naona hamna aliejibu swali lako Kwa mapana;
Kazi kubwa ya channel za dini ni kuieneza dini husika.
Ukristo ulienea Kwa mahubiri,ndomaana channel za kikristo kama za kkt/kisabato/RC zimejikita kwenye mahubiri na mimbo kuendelea kuieneza Kwa staili hio.
Manabii na mitume wanapata wateja kupitia miujiza Yao, ndomaana channel za watu kama kina mwamposa kila saa zinaonesha miujiza ya mwamposa.

Sasa kwenye uislam, Ulisambaa Duniani Kwa njia kuu 3
1.Biashara
2.Mapanga/Utumwa/Conquest
3.Kuzaliana.

Sasa kwakuwa Kwa Dunia ya sasa Biashara imeshasambaa sio ya waarabu TU au waislam ni mtu yoyote anaweza kuzifanya, Na ni ngumu Tena kutumia mapanga (wamebaki wachache wanaotumia mbinu hii, kina Boko Haram,ISIS,Al shabab etc.)

Kwahyo Kwa nchi kama Tanzania, njia pekee ya kueneza uislam iliyobakia ni kuzaliana.
Ndomaana hizo channel basi zinajikita kuongelea ndoa. Na kutilia mkazo point kuu nne (4).

1.Wanaume kuoa wanawake wengi ili wazae watoto wengi.

2.Wanawake kuwa waaminifu Kwa waume zao na kuzaa watoto wengi wa ndoa.

3.Muislam wa kike au kiume kamwe asioe/kuolewa na mkristo na kuhama dini (Maana utapunguza idadi ya waumini).

4.Muislam wa kiume, kama akipata nafasi, anashauriwa aoe wakristo Kwa lengo la kuwabadili dini (uislam uenee)
 
Naona hamna aliejibu swali lako Kwa mapana;
Kazi kubwa ya channel za dini ni kuieneza dini husika.
Ukristo ulienea Kwa mahubiri,ndomaana channel za kikristo kama za kkt/kisabato/RC zimejikita kwenye mahubiri na mimbo kuendelea kuieneza Kwa staili hio.
Manabii na mitume wanapata wateja kupitia miujiza Yao, ndomaana channel za watu kama kina mwamposa kila saa zinaonesha miujiza ya mwamposa.

Sasa kwenye uislam, Ulisambaa Duniani Kwa njia kuu 3
1.Biashara
2.Mapanga/Utumwa/Conquest
3.Kuzaliana.

Sasa kwakuwa Kwa Dunia ya sasa Biashara imeshasambaa sio ya waarabu TU au waislam ni mtu yoyote anaweza kuzifanya, Na ni ngumu Tena kutumia mapanga (wamebaki wachache wanaotumia mbinu hii, kina Boko Haram,ISIS,Al shabab etc.)

Kwahyo Kwa nchi kama Tanzania, njia pekee ya kueneza uislam iliyobakia ni kuzaliana.
Ndomaana hizo channel basi zinajikita kuongelea ndoa. Na kutilia mkazo point kuu nne (4)
1.Wanaume kuoa wanawake wengi ili wazae watoto wengi
2.Wanawake kuwa waaminifu Kwa waume zao na kuzaa watoto wengi wa ndoa
3.Muislam wa kike au kiume kamwe asioe/kuolewa na mkristo na kuhama dini (Maana utapunguza idadi ya waumini)
4.Muislam wa kiume, kama akipata nafasi, anashauriwa aoe wakristo Kwa lengo la kuwabadili dini (uislam uenee)
Randy orton
jiwe angavu
Mcqueenen
dudus n.k n.k n.k

Ninyi mnatakiwa mkae pamoja, maprofesa wa udini 😁 hatari sana
 
Kuto zungumzia hakufanyi kuwa wakristo hawapendi ngono,

Huko manisani leo tunaona wake za wake za watu, wanavyotomeka.

Ukitaka kuliona hili, kaa karibu siku za jumapili, kuanzia saa nne hadi saa kumi na moja jioni uone wakristo wanavyotafunana.

Afadhari hao wanaongelea, uimarishaji wa ndoa zao.
 
Naona hamna aliejibu swali lako Kwa mapana;
Kazi kubwa ya channel za dini ni kuieneza dini husika...
Umeongea mulemule..uislamu umebakiza njia hiyo tu ya kuzaliana tofauti na hapo nani wakuupokea huo uislamu..dini imejaa mapanga..pia nani anakaa asikilize mahubiri ya kiarabu...lugha yenyewe haieleweki hata wao wengi wamekaririshwa tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Shida wazazi ndio wanafanya mabinti mtaji, mahhari si ya mzazi ni ya binti mwenyeewe. Kama mabintibwangekuwa wanataja wenyewe baada ya kumpenda mtu kama ambavyo dini inafundisha, mahari zisingekuwa ni kukomoana, wanawake wana mapenzi haswaa, yaani akupende ajue hali yako ya laki 3 kisha aseme milioni 5 hawawezi, nahisi ndoa nyingi zingekuwa zimefungwa,
 
Kuto zungumzia hakufanyi kuwa wakristo hawapendi ngono,
Huko manisani leo tunaona wake za wake za watu, wanavyotomeka.

Ukitaka kuliona hili, kaa karibu siku za jumapili, kuanzia saa nne hadi saa kumi na moja jioni uone wakristo wanavyotafunana.
Afadhari hao wanaongelea, uimarishaji wa ndoa zao.

Hatari sheikh
 
Naona hamna aliejibu swali lako Kwa mapana;
Kazi kubwa ya channel za dini ni kuieneza dini husika...
Acha kueneza chuki mfuasi wa upinde w mvua. Je wewe ? Unayesapot upinde wa mvua dini yako inasambaa kwa njia gani
 
Back
Top Bottom