Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Hiki ni nini?? Na baada ya kukuhoji ukaenda kuifuta haraka. Heshimu imani za wengine mkuu.Udini umetoka wapi , onyesha comment yangu jata moja ya uongo.
Kwani hakuna ahadi ya mabikra peponi ?
Au ukisema kitu kama kilivyo ndio udini
Kwa Kuwatembezea pipe watu kama weweAcha kueneza chuki mfuasi wa upinde w mvua. Je wewe ? Unayesapot upinde wa mvua dini yako inasambaa kwa njia gani
Kwani mkuu hiyo comment Ina udini?Hiki ni nini?? Na baada ya kukuhoji ukaenda kuifuta haraka. Heshimu imani za wengine mkuu.
Randy orton
"Sasa kama moja ya ahadi kwao ni kukutana na mabikra 72 Peponi unategemea wawaze nini wakiwa duniani ?"
Si tayar ushatembezewa na babaakoKwa Kuwatembezea pipe watu kama wewe
Wewe mbona unaliwa na ndo babaako alikuwa ivyo mbona hatukusemi?Kwani mkuu hiyo comment Ina udini?
Kwani hawajaahidiwa hao mabikra?
Mimi hata sielewi kwanini mtu akisema chochote msichokipenda kuhusu dini, hata kama ni ukweli anaitwa mdini.
The concept of 72 hoors is mentioned in Hadith - the sayings of Muhammad. According to Hadith, the messenger of God said, "Every one that God admits into the paradise will be married to 72 houries (wives) who are beautiful and virgins, with whom they can have eternal physical satisfaction ".Hiki ni nini?? Na baada ya kukuhoji ukaenda kuifuta haraka. Heshimu imani za wengine mkuu.
Randy orton
"Sasa kama moja ya ahadi kwao ni kukutana na mabikra 72 Peponi unategemea wawaze nini wakiwa duniani ?"
Ndo akili yako ilipoishia....kwenye ushoga TU sio?Wewe mbona unaliwa na ndo babaako alikuwa ivyo mbona hatukusemi?
Si ndo ujinga unasapot huo?Ndo akili yako ilipoishia....kwenye ushoga TU sio?
sijafuta kitu, angalia vizuri.Hiki ni nini?? Na baada ya kukuhoji ukaenda kuifuta haraka. Heshimu imani za wengine mkuu.
Randy orton
"Sasa kama moja ya ahadi kwao ni kukutana na mabikra 72 Peponi unategemea wawaze nini wakiwa duniani ?"
Huyu mkuu ana matatizo.Kwani mkuu hiyo comment Ina udini?
Kwani hawajaahidiwa hao mabikra?
Mimi hata sielewi kwanini mtu akisema chochote msichokipenda kuhusu dini, hata kama ni ukweli anaitwa mdini.
ππΌSasa kama moja ya ahadi kwao ni kukutana na mabikra 72 Peponi unategemea wawaze nini wakiwa duniani ?
Mkuu fanya uvute jiko na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu hali ya kipato itakuja....Usisahau maombi na dua,,,,Mimi ni mpenzi sana wa kutizama channel za waislam hasa TV Imaan na Swahili TV ya mombasa.
Changamoto inayojitokeza ni mijadala inayoendeshwa katika channel hizi mara nyingi huzungumzia mambo ya ndoa.
Kupeana mapenzi moto moto kwa wanandoa (mawarda) na kuoa wake zaidi ya mmoja, kuna wengine suala la kuoa limekuwa changamoto kutokana na changamoto za kiuchumi tulizonazo.
Mfano, unakwenda kuposa, posa inakubaliwa mziki unakuja kwenye mahari, unaambiwa mahari kuubwa mwisho wa siku unaamua kuaga na kutokurudi.
Waja wa allah hasa waendeshaji wa hivyo vipindi punguzeni baadhi yetu tunaumia roho tukiona mnazungumzia mawarda...ππ
Tatizo sio mimi mkuu...tatizo ni wao..Mkuu fanya uvute jiko na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu hali ya kipato itakuja....Usisahau maombi na dua,,,,
Yaani haya unayorudia rudia kuposti, unataka ujibiweje, kuwa wakristu hamfanyi ngono. Wakati madanguro yote Dar, wanamilikiwa na Wakristo, madada poa wengi mjini ni wakristoIla wanaume wa kiisilamu wamepewa mema peponi na duniani. Yaani Mtui aoe wanawake wanne duniani na akienda peponi atapewa mabikira 72 huoni wanaume walivyo hakuwa. Ila sijaelewa hizo dushe zitakua na ukubwa gani. Dini zingine Mungu atusaidie
Ila wanaume wa kiisilamu wamepewa mema peponi na duniani. Yaani Mtui aoe wanawake wanne duniani na akienda peponi atapewa mabikira 72 huoni wanaume walivyo hakuwa. Ila sijaelewa hizo dushe zitakua na ukubwa gani. Dini zingine Mungu atusaidie
Ni kweli kabisa option walio iamua ya kueneza dini Ila njia nzuri ni kujiinua kiuchumi ukidominate uchumi ni rahisi sana kuinfluence watuNaona hamna aliejibu swali lako Kwa mapana;
Kazi kubwa ya channel za dini ni kuieneza dini husika.
Ukristo ulienea Kwa mahubiri,ndomaana channel za kikristo kama za kkt/kisabato/RC zimejikita kwenye mahubiri na mimbo kuendelea kuieneza Kwa staili hio.
Manabii na mitume wanapata wateja kupitia miujiza Yao, ndomaana channel za watu kama kina mwamposa kila saa zinaonesha miujiza ya mwamposa.
Sasa kwenye uislam, Ulisambaa Duniani Kwa njia kuu 3
1.Biashara
2.Mapanga/Utumwa/Conquest
3.Kuzaliana.
Sasa kwakuwa Kwa Dunia ya sasa Biashara imeshasambaa sio ya waarabu TU au waislam ni mtu yoyote anaweza kuzifanya, Na ni ngumu Tena kutumia mapanga (wamebaki wachache wanaotumia mbinu hii, kina Boko Haram,ISIS,Al shabab etc.)
Kwahyo Kwa nchi kama Tanzania, njia pekee ya kueneza uislam iliyobakia ni kuzaliana.
Ndomaana hizo channel basi zinajikita kuongelea ndoa. Na kutilia mkazo point kuu nne (4).
1.Wanaume kuoa wanawake wengi ili wazae watoto wengi.
2.Wanawake kuwa waaminifu Kwa waume zao na kuzaa watoto wengi wa ndoa.
3.Muislam wa kike au kiume kamwe asioe/kuolewa na mkristo na kuhama dini (Maana utapunguza idadi ya waumini).
4.Muislam wa kiume, kama akipata nafasi, anashauriwa aoe wakristo Kwa lengo la kuwabadili dini (uislam uenee)