Tumetoka kusuluhisha ugomvi wa ndoa kisa mwanaume amekuta ujumbe huu kwenye simu ya mkeweKupeana mapenzi moto moto kwa wanandoa (mawarda) na kuoa wake zaidi ya mmoja, kuna wengine suala la kuoa limekuwa changamoto kutokana na changamoto za kiuchumi tulizonazo
Umechambua vizuri kabisa, wewe utakuwa ni mbobezi ama mwanazuoni.Naona hamna aliejibu swali lako Kwa mapana;
Kazi kubwa ya channel za dini ni kuieneza dini husika.
Ukristo ulienea Kwa mahubiri,ndomaana channel za kikristo kama za kkt/kisabato/RC zimejikita kwenye mahubiri na mimbo kuendelea kuieneza Kwa staili hio.
Manabii na mitume wanapata wateja kupitia miujiza Yao, ndomaana channel za watu kama kina mwamposa kila saa zinaonesha miujiza ya mwamposa.
Sasa kwenye uislam, Ulisambaa Duniani Kwa njia kuu 3
1.Biashara
2.Mapanga/Utumwa/Conquest
3.Kuzaliana.
Sasa kwakuwa Kwa Dunia ya sasa Biashara imeshasambaa sio ya waarabu TU au waislam ni mtu yoyote anaweza kuzifanya, Na ni ngumu Tena kutumia mapanga (wamebaki wachache wanaotumia mbinu hii, kina Boko Haram,ISIS,Al shabab etc.)
Kwahyo Kwa nchi kama Tanzania, njia pekee ya kueneza uislam iliyobakia ni kuzaliana.
Ndomaana hizo channel basi zinajikita kuongelea ndoa. Na kutilia mkazo point kuu nne (4).
1.Wanaume kuoa wanawake wengi ili wazae watoto wengi.
2.Wanawake kuwa waaminifu Kwa waume zao na kuzaa watoto wengi wa ndoa.
3.Muislam wa kike au kiume kamwe asioe/kuolewa na mkristo na kuhama dini (Maana utapunguza idadi ya waumini).
4.Muislam wa kiume, kama akipata nafasi, anashauriwa aoe wakristo Kwa lengo la kuwabadili dini (uislam uenee)
Faana wewe sio mtoto wa kiislamu unipe mawarda?Tumetoka kusuluhisha ugomvi wa ndoa kisa mwanaume amekuta ujumbe huu kwenye simu ya mkewe
Pamechimbika
View attachment 2332753
Uislam Ni umezungukwa na ndoa has mashine. Duniani mpaka akheraMimi ni mpenzi sana wa kutizama channel za waislam hasa TV Imaan na Swahili TV ya mombasa.
Changamoto inayojitokeza ni mijadala inayoendeshwa katika channel hizi mara nyingi huzungumzia mambo ya ndoa.
Kupeana mapenzi moto moto kwa wanandoa (mawarda) na kuoa wake zaidi ya mmoja, kuna wengine suala la kuoa limekuwa changamoto kutokana na changamoto za kiuchumi tulizonazo.
Mfano, unakwenda kuposa, posa inakubaliwa mziki unakuja kwenye mahari, unaambiwa mahari kuubwa mwisho wa siku unaamua kuaga na kutokurudi.
Waja wa allah hasa waendeshaji wa hivyo vipindi punguzeni baadhi yetu tunaumia roho tukiona mnazungumzia mawarda...😁😁
Punguza makasiriko..tunaomba hizo takwimu..vinginevyo ni uzushi.Yaani haya unayorudia rudia kuposti, unataka ujibiweje, kuwa wakristu hamfanyi ngono. Wakati madanguro yote Dar, wanamilikiwa na Wakristo, madada poa wengi mjini ni wakristo
Wanaoliwa wengi hasa siku za jumapili, ni wakristo, wengi huliwa asbuhi alafu, wanaenda makanisa, na wengine huliwa baada ya kutoka makanisani.
Bora hao Waislamu wanaimani kuwa wameahidiwa, ila wakristo hufanya haya bure.
Swala kuoa weke wengi, au kuachana, hakuna ambacho hakifanywi na mkristo,
Kuoa mke mmoja au Kuto achana, limebaki kwenye maandishi tu, Watu wanamiliki wake zaidi ya mmoja Wakristo, kuachana kila siku tunaona Wakristo wakiachana, hivyo mkristo kwa hili hana cha kujivunia.
Unaomba hizo takwimu, twakwimu ndiyo hizo, ukitaka kujiridhisha tembelea madanguro, na gesti, utagundua Wakristo wengi ndiyo wamiliki wa madanguro.Punguza makasiriko..tunaomba hizo takwimu..vinginevyo ni uzushi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Maombi kwa wingi waje wabadilike.Tatizo sio mimi mkuu...tatizo ni wao..
Nibora nyie mnayotoa magovi elfu 79 kama mahari ndiomaana mnayafuga sisi uislam unatufundisha ustarabuSasa kama moja ya ahadi kwao ni kukutana na mabikra 72 Peponi unategemea wawaze nini wakiwa duniani ?