Chanting:- Moja ya funguo za kufungua ulimwengu wa roho (Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru)

Chanting:- Moja ya funguo za kufungua ulimwengu wa roho (Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru)

Kiberiti sh.20 na chenchi inarudi x30 na hamna miujiza iliotokea
Na haitokaa itokee mpaka utazeeka na kurudi kaburini maskini wakati utajiri unao. Ni sawa na mtu kubeba msalaba mfano wa msalaba aliosulubishwa Yesu akitegemea wokovu halafu hafuati tabia za Yesu. Ni sawa na mtu kubeba chakula halafu hali anategemea njaa haitamuua kwa vile amebeba chakula. Utakufaaa maskini acheni uzembe, nani aliewaroga waTanzania? Chanting unaambiwa ni kufungua milango, kwa hiyo ukifungua milango unabaki umekaa gerezani au ndani badala ya kutoka ukijua unaelekea wapi unategemea nini kama sio sawa tu na kwamba umefungiwa bado.... tubadilike wajameni agaya....
 
Nawasalimu wote.

Mwenye ufahamu afahamu, na afunguliwe kuzijua siri za ufalme wa roho.

Leo nitaongelea njia moja wapo ya kuweza kufungua mlango na kuingia katika ulimwengu wa roho. Njia hiyo ni chanting.

UTANGULIZI
Kwanza kabisa chanting ni nini!? Nikutamka au kuimba maneno kwa kurudia rudia. Inaweza ukaimba kwa sauti au ukaimba kimoyo moyo.

Mfano:- Haleluya, Haleluya, Haleluya, Haleluya, Haleluya

Au:- Nataka gari, Nataka gari, Nataka gari, Nataka gari

Wengine huita majina kulingana na imani yao.

Uimbaji au kuongea kukirudiwa mara nyingi, tayari sauti itaanza kusikika ndani ya ubongo na kuulazimisha ubongo ukusikilize. Ubongo unapokubali kukusikiliza tayari nafsi yako itaanza kusikiliza kutoka kwenye ulimwengu wa roho.

KWANINI CHATING!?
Ndani ya akili ya mwanadamu au katika memory ya mwanadamu vimejaa vitu vinavyotoka katika ulimwengu wa mwili. Milango ya fahamu inaingiza kila sekunde taarifa zinazotoka katika ulimwengu wa mwili kwenye memory ya mwanadamu.

Sasa basi nafsi inakuwa inaujuzi mkubwa wa taarifa zinazotoka katika ulimwengu wa mwili. Siri za ulimwengu wa roho zinakuwa hazijulikani au zinajulikana kwa kiasi tu.

Chanting ni njia moja wapo ya Spiritual Induction. Unajilazimisha kuingia katika ulimwengu wa roho kwa kuulazimisha ubogo ufunge milango ya fahamu kwa muda. Utakapo anza kutamka maneno kwa kurudia rudia "You fake the brain" na baadae ubongo unakubaliana na hicho unachokifanya.

Unapofanya fanya kwa hisia (Imani) ndipo utaingia katika ulimwengu wa roho.

JE MUDA GANI WA KUFANYA NA WAPI
Chanting inafanyika popote. Ndani ya kanisa, ndani ya msikiti au popote.
Walokole wao huwa wanafanya chanting kwa kunena kwa lugha. Imani zingine wanafanya kwa namna ya wengine wanatamka "ohm" nk.

Wachawi nao wapo na namna ya kutamka.
Waebrania nao walikuwa na namna ya kutamka. Namna hii huwa naipenda maana ni rahisi "ABRACADABRA" Maana yake "Ninaumba kwa jinsi ninavyotamka" I create as I speak.

FAIDA ZA CHANTING
Faida kubwa kabisa ni kuingia katika ulimwengu wa roho by induction.

Kuondoa stress na kuwa na furaha.
Kuongeza uwezo wa kukumbuka.
Kujua siri za ulimwengu wa roho na kuwa open minded.

Na mambo mengi yafananayo na hayo.

MWENYE UFAHAMU AFAHAMU HAYA.
Ndugu PM unlock pls. Imefungwa
 
Nawasalimu wote.

Mwenye ufahamu afahamu, na afunguliwe kuzijua siri za ufalme wa roho.

Leo nitaongelea njia moja wapo ya kuweza kufungua mlango na kuingia katika ulimwengu wa roho. Njia hiyo ni chanting.

UTANGULIZI
Kwanza kabisa chanting ni nini!? Nikutamka au kuimba maneno kwa kurudia rudia. Inaweza ukaimba kwa sauti au ukaimba kimoyo moyo.

Mfano:- Haleluya, Haleluya, Haleluya, Haleluya, Haleluya

Au:- Nataka gari, Nataka gari, Nataka gari, Nataka gari

Wengine huita majina kulingana na imani yao.

Uimbaji au kuongea kukirudiwa mara nyingi, tayari sauti itaanza kusikika ndani ya ubongo na kuulazimisha ubongo ukusikilize. Ubongo unapokubali kukusikiliza tayari nafsi yako itaanza kusikiliza kutoka kwenye ulimwengu wa roho.

KWANINI CHATING!?
Ndani ya akili ya mwanadamu au katika memory ya mwanadamu vimejaa vitu vinavyotoka katika ulimwengu wa mwili. Milango ya fahamu inaingiza kila sekunde taarifa zinazotoka katika ulimwengu wa mwili kwenye memory ya mwanadamu.

Sasa basi nafsi inakuwa inaujuzi mkubwa wa taarifa zinazotoka katika ulimwengu wa mwili. Siri za ulimwengu wa roho zinakuwa hazijulikani au zinajulikana kwa kiasi tu.

Chanting ni njia moja wapo ya Spiritual Induction. Unajilazimisha kuingia katika ulimwengu wa roho kwa kuulazimisha ubogo ufunge milango ya fahamu kwa muda. Utakapo anza kutamka maneno kwa kurudia rudia "You fake the brain" na baadae ubongo unakubaliana na hicho unachokifanya.

Unapofanya fanya kwa hisia (Imani) ndipo utaingia katika ulimwengu wa roho.

JE MUDA GANI WA KUFANYA NA WAPI
Chanting inafanyika popote. Ndani ya kanisa, ndani ya msikiti au popote.
Walokole wao huwa wanafanya chanting kwa kunena kwa lugha. Imani zingine wanafanya kwa namna ya wengine wanatamka "ohm" nk.

Wachawi nao wapo na namna ya kutamka.
Waebrania nao walikuwa na namna ya kutamka. Namna hii huwa naipenda maana ni rahisi "ABRACADABRA" Maana yake "Ninaumba kwa jinsi ninavyotamka" I create as I speak.

FAIDA ZA CHANTING
Faida kubwa kabisa ni kuingia katika ulimwengu wa roho by induction.

Kuondoa stress na kuwa na furaha.
Kuongeza uwezo wa kukumbuka.
Kujua siri za ulimwengu wa roho na kuwa open minded.

Na mambo mengi yafananayo na hayo.

MWENYE UFAHAMU AFAHAMU HAYA.
ABRACADABRA" Which kind of language is this?
 
Huwezi kufanya chating tu , bila kuingia ndani yako ubadilishe unachotaka kubadili, unataka utajiri lazma uvute tabia za matajiri, huwezi badili mfumo wa ndani kwa kutumia njee , apa lazma tu utumie spiritual meditation , ni sawasawa na mchungwa utamani kuzaa maembe wakati hauna gene za maembe ndan.
 
Huwezi kufanya chating tu , bila kuingia ndani yako ubadilishe unachotaka kubadili, unataka utajiri lazma uvute tabia za matajiri, huwezi badili mfumo wa ndani kwa kutumia njee , apa lazma tu utumie spiritual meditation , ni sawasawa na mchungwa utamani kuzaa maembe wakati hauna gene za maembe ndan.
Akishajua yeye ni nani atakuelewa. Kama ni mchungwa basi anatakiwa afuatilie hizo genes za chungwa na aziondoe ndiposa azae maembe
 
Elon Musk's transgender son decided to change his name to a female and get rid of any ties with his biological father.

According to Reuters, Xavier Alexander Musk (pictured in the center) wanted to become a girl according to the documents and filed a petition with the Los Angeles Supreme Court immediately after coming of age. This happened back in April, but the information appeared only now.

According to media reports, the new name of the teenager will be Vivienne Jenna Wilson.

Xavier was born via IVF during Musk's first marriage to writer Justine Wilson. He also has a twin brother, Griffin.

Officially, there is no information about the reasons for the conflict between Musk and his son, but, as the agency suggests, the matter is that the head of Tesla supports Republicans who advocate laws that restrict the rights of transgender people.

20220502_010825 (1) (1) (1).png
 
Germany officially confirmed plans to send Ukraine 30 Gepard anti-aircraft installations, IRIS-T air defense systems and three Mars MLRS systems.

20220502_010825 (1) (1) (1).png
 
Moscow has strongly protested to the EU Ambassador to Russia over the spread of sanctions on cargo transit to Kaliningrad, the Russian Foreign Ministry said.

20220502_010825 (1) (1) (1).png
 
The head of the DPR, Pushilin, allowed to accept foreigners for military service under a contract.

20220502_010825 (1) (1) (1).png
 
The German economy and companies in Germany are painfully enduring anti-Russian sanctions, said Chancellor Scholz.

20220502_010825 (1) (1) (1).png
 
EU Ambassador to Russia Markus Ederer left the Foreign Ministry building.

Earlier, he was summoned to the department due to the restriction of transit to the Kaliningrad region through Lithuania.

Ederer said that he met with Deputy Minister Grushko and Rudenko at the Russian Foreign Ministry and asked Moscow to resolve the transit issue through diplomacy and "not aggravate the situation."

Ruptly video @ruptlynews.
20220502_010825 (1) (1) (1).png
 
Railway communication in the Kherson region is planned to be launched in 1.5-2 weeks.

This was stated by the deputy head of the military-civilian administration of the region Kirill Stremousov.

“From the first days of July, the railway service is launched,” he said in a conversation with TASS.

Now, according to Stremousov, the railway workers are preparing the Kherson station for the resumption of traffic.

20220502_010825 (1) (1) (1).png
 
ishu za self awakening siyo rahisi kuzielewa kwa haraka, inahitaji juhudi na kupata maarifa sahihi
 
Back
Top Bottom