Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Hii ni organized scene. Muandaaji wa opera hii amefanikiwaIngawa kitendo alichokifanya sio kizuri kabisa...lakini hao waliomshuti kuna jamaa kamchoma hapo tena pengine ni jamaa yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni organized scene. Muandaaji wa opera hii amefanikiwaIngawa kitendo alichokifanya sio kizuri kabisa...lakini hao waliomshuti kuna jamaa kamchoma hapo tena pengine ni jamaa yake.
Karibu na ukumbi wa sinema(UWT). Dahhhhhhhhhhhh, missing this place badly.Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda.
Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake.
Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapatikana Mbwade, anaitwa Mzee Mahigili.Huyo mganga tunamhitaji tumkabidhi kesi ya waliomdhuru Lissu