Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Dogo hebu jfunze busara kumbuka huyo ana familia yake, sasa unahisi wanajckiaje wanapockia maneno km yako?. Alafu ww ndo kesho upo Church /mosque siti ya mbele kutaka bless za jah kisa mambo yako hayaend vizur, kumbe kuna upuuzi huu uliongea. Be smart!Kennedy noma..Twangala kaenda kwa bae wake..Lulu ajipange
Ndo huyu huyu alishikwa kiuno huku akibembelezwa kifo cha broo wake
Maisha haya [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Ndo inavotakiwa mkuu..yaani guest akienda Leo tena muuliza maswali mkuu inatakiwa awe Dahuu na si Mussa Hussein, Jahazi pia ni George Bantu Si Gardner,hawa ma'co-host kazi yao ni kuchombeza2 kiaina japo simaanishi haipaswi waulize maswali Noo.Huyo Dozen pia ngeli haiwezi,anaungaunga tu..Ngeli ni Sam Misago..Meena pia yupo vizuri..
Hivi Babra anapohost PB akija labda Tundu Lisu yeye ndo atakua muuliza maswali mkuu?
Naam nikweli... Hata kile kipande cha hot 3 ambacho kipo kwenye xxl walikikwapua channel 0 miaka ya 2006 ...channel 0 walikuwa na session yao inafanyika SAA 10 mpaka 12 jioni yaani kipindi chao kilikuwa kama Friday night cha eastafrica..nilikuwa kiko hot Sana wakati huo ...kilikuwa kina hicho kipande cha hot 3Sio jina tu
Maudhui mengi ya radio za fm ni ya kuiga toka kwenye radio za kimarekani. Tofauti ni lugha tu
Hicho kipindi kilikua moto enzi ya dj steve BView attachment 1467587
B. Dozen kuondoka Clouds wengi wanadhani ni sababu za marupurupu au kumsifia Diamond waziwazi ila ukweli ni kuwa chokochoko zilianza mwaka juzi baada ya marehemu Ruge kumchukua Kennedy toka East Africa Radio na kumuweka kwenye XXL akiwa na lengo la kumfanya awe sura ya kipindi.
Kwa miaka zaidi ya 10 XXL imekuwa ni kipindi kinachopendwa zaidi na vijana wa kuanzia miaka 17-25 kwa hiyo Ruge alitaka kuhakikisha sura ya kipindi inabaki vilevile ila isingewezekana wakati watangazaji tayari umri ulikuwa unakwenda na new generation ilikuwa inaanza kupoteza touch na kipindi.
Mwanzoni walitaka Meena Ally na Kennedy wahamie XXL ili BDozen awe phased out ila wakaona ingevuruga utaratibu ikabidi Meena apelekwe Amplifaya apate uzoefu. Baada ya Ruge kufariki ilikuwa kama imesahaulika ila kitendo cha Meena kupelekwa XXL kilimshtua B Dozen akajua anakuwa replaced ikabidi ajiwahi mwenyewe kwa kukataa kusaini mkataba mpya na kukubali ofa ya Majizo kujiunga E FM.
Kwa hali ilivyo inaonekana E FM anajipanga kubadili vipindi vyake toka mambo ya Uswahili na singeli kuwa redio ya vijana corporate media nyingine inabidi zijipange.
================
Jinsi Clouds walivyomuandaa Kennedy
===============
Maendeleo hayana chamaMkuu unaonekana unampenda sana Mbowe aisee! Yaani wakizingumzia mziki wewe unamtaja Mbowe, nasubiri wazungumzie mpira umtaje tena
Naona hii sababu Ina mashikoInasemekana Dozen kilichomuondoa Clouds ni mapenzi.
Aliyekua mpenzi wake ni HR, sasa hawa wadada wakishaachana na mtu figisu za wazi haziishi ndiyo mwamba akaona ajiweke pembeni.
NB: Inasemekana.
Naona post hii imejikita kwenye majina au wasifu wa mtu...nafikiri ungesaidia kama ungeonyesha soko la la kipindi likoje na litaendelea vipi licha ya mabadiliko hayo..Hasa ukizingatia mabadiliko ya media.. Wengi wakihamia digital marketing.....Jinsi ambavyo Clouds , EFM au yeyote anavyomudu kwenda na wakati na kutimiza malengo ya makampuni.....Kwa makampuni ya biashara ....sasa hivi wanajifikiria sana faida ya kutumia traditional media Radio, TV advertising space na digital.. Hawa akina Bdozen ni matokeo ya peak ya advertising kwenye miaka ya 2000 - 2016/17View attachment 1467587
B. Dozen kuondoka Clouds wengi wanadhani ni sababu za marupurupu au kumsifia Diamond waziwazi ila ukweli ni kuwa chokochoko zilianza mwaka juzi baada ya marehemu Ruge kumchukua Kennedy toka East Africa Radio na kumuweka kwenye XXL akiwa na lengo la kumfanya awe sura ya kipindi.
Kwa miaka zaidi ya 10 XXL imekuwa ni kipindi kinachopendwa zaidi na vijana wa kuanzia miaka 17-25 kwa hiyo Ruge alitaka kuhakikisha sura ya kipindi inabaki vilevile ila isingewezekana wakati watangazaji tayari umri ulikuwa unakwenda na new generation ilikuwa inaanza kupoteza touch na kipindi.
Mwanzoni walitaka Meena Ally na Kennedy wahamie XXL ili BDozen awe phased out ila wakaona ingevuruga utaratibu ikabidi Meena apelekwe Amplifaya apate uzoefu. Baada ya Ruge kufariki ilikuwa kama imesahaulika ila kitendo cha Meena kupelekwa XXL kilimshtua B Dozen akajua anakuwa replaced ikabidi ajiwahi mwenyewe kwa kukataa kusaini mkataba mpya na kukubali ofa ya Majizo kujiunga E FM.
Kwa hali ilivyo inaonekana E FM anajipanga kubadili vipindi vyake toka mambo ya Uswahili na singeli kuwa redio ya vijana corporate media nyingine inabidi zijipange.
================
Jinsi Clouds walivyomuandaa Kennedy
===============
Mwanzoni ni kama waliitelekeza tu. Ilikiwepo kuwepo tu ina hang hang. Kuna wakati mpaka unajiuliza wameianzisha ili iweje? Ila sasa hivi wanakuja kuja kimtindoHalafu clouds tv imebadilika sana nahisi kuna mkono wa nchakali maana mwanzoni ilikuwa haina vipindi sana wala mvuto kama saa hii
Wengi wanalifahamu hilo ila hata samata asingepata timu inayofuatiliwa duniani angebaki na kipaji chake tu na dunia isingemjua?Abubakar alikuwa mtangazaji mzuri sana ila sio kwa level ya show za mchana
Navigator anabaki kuwa navigator the KING OF AFTERNOON SHOW.
Kweli kwa sasa wamekuwa serious hadi inaendana na brand ya CMGMwanzoni ni kama waliitelekeza tu. Ilikiwepo kuwepo tu ina hang hang. Kuna wakati mpaka unajiuliza wameianzisha ili iweje? Ila sasa hivi wanakuja kuja kimtindo
Heeeee shadeee namkubali sana yule dadaShadee wakishaachana muda.. huyo HR ni Faudhia.. Halafu sijui kwa nini B12 wasichana wake anachukua Hapo hapo Clouds?