Hakuna chanzo cha duniaSwali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Wewe chanzo cha hivo vitu ulikiona wapiKama hakuna chanzo cha dunia, kwanini kila kitu kilichopo ulimwenguni na dunia huwa kina chanzo na mwisho ? Je Chanzo cha Dunia, uhai na ulimwengu ni nini ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣inakuwaje kigezo cha kuwa na akili nyingi kinatolewa na asiye na akili nying?
Mimi napita tuSwali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
At least umeanza kuniaelewa nataka nini ? Mtu anatakiwa kujibu on his/her own free mind, ndio tutapata chanzoWanaokujibu wenyewe wanasoma theories za watu wengine, ama wanasoma nukuu za vifungu vya vitabu vya dini.
Hakuna mwenye ataongea from their own free minds.
Atakuuliza chanzo cha viumbe hai ni nnChanzo cha Dunia ni viumbe hai tu