Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mambo ya kiumbe wa kwanza yale ni Hadithi tu MkuuHuyo kiumbe wa kwanza alitokea wapi kwasabu lazima hakutokana na sex
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kiumbe wa kwanza yale ni Hadithi tu MkuuHuyo kiumbe wa kwanza alitokea wapi kwasabu lazima hakutokana na sex
💪💪Akili zetu zina ukomo wa kufikiri, huwezi kutambua jambo bila msaada wa kitu fulana hasaa katika umbwaji wa dunia wasababu kwanza hakuna alie kuwepo jibu lake ni Hamna.
Ndiyo nini hiki "princliple"?Swali: Ukitoa princliple zote za kisayansi unazozijua na usizojijua na Ukitoa imani zote za Dini zote unazozijua na usizozijua Je, Chanzo cha Dunia, Uhai na Ulimwengu ni nini ?
NB; Uzi huu utawekwa kwenye record za Dunia kwamba ndio uzi pekee uliotaja chanzo cha Dunia, Uhai na ulimwengu bila kutaja principle zozote za Kisayansi au Imani (Dini)
Nawasilisha.
Hao wadudu huwa wanakuwepo tumboniiii ila wanakuwa in form of cysts kwa
Kila kitu kina chanzo na hiko chanzo kina chanzo bila mwisho utabaki kutafuta vyanzo vya vyanzo mpka uchanganyikiwe ,wakati kila kitu kipo kwenye cycle tu hakuna mwanzo wala mwisho.Wewe chanzo chako mpaka ulipo kinajulikana, wazazi wako na asili yako ukifa unazikwa migombani ...
Kila kitu kina chanzo ndugu yangu..
Napenda mijadala ya hivi na nondo ninazo za kutosha,ila tukipeana elimu hapa jf,kuna vivuruga wataharibu mjadala,..weekend moja tuunde group chat PM watu kumi tu,hadi mtu atoke damu,.timu yenu watu watano na kiranja wenu,nami ni add watu watano...najua hautakua mjadala wa Nani Bingwa, ila tutajua kipi ni kipi...Hicho chanzo cha binadamu, chanzo chake ni nini?
😀 😀Kila kitu kina chanzo na hiko chanzo kina chanzo bila mwisho utabaki kutafuta vyanzo vya vyanzo mpka uchanganyukiwe ,wakati kila kitu kipo kwenye cycle tu hakuna mwanzo wala mwisho.
Mtaniweka huko pm mzeeNapenda mijadala ya hivi na nondo ninazo za kutosha,ila tukipeana elimu hapa jf,kuna vivuruga wataharibu mjadala,..weekend moja tuunde group chat PM watu kumi tu,hadi mtu atoke damu,.timu yenu watu watano na kiranja wenu,nami ni add watu watano...najua hautakua mjadala wa Nani Bingwa, ila tutajua kipi ni kipi...
Wewe timu gani??Mtaniweka huko pm mzee
Ndo ivoo mkuu ni kama duara ambavo huwezi kujua chanzo chake ni wapi kama halikuwekwa alamaKila kitu kina chanzo na hiko chanzo kina chanzo bila mwisho utabaki kutafuta vyanzo vya vyanzo mpka uchanganyikiwe ,wakati kila kitu kipo kwenye cycle tu hakuna mwanzo wala mwisho.
Wewe unatetea nn kwani nikielewa hapo ndo itakuwa rahisi zaidiWewe timu gani??
Umeambiwa usitumie imani wala sayansiIlikuwepo tu nawatu ndani yake chanzo ni Yesu ndi baba yake aliumba
Utajuaje kama amepatia?atakaye-patia-hili-swali-ndio-atakuwa-mtu-mwenye-akili-dunia-nzima
Wanasema kuna tofauti kati ya kutengeneza na kuumbaKama ilivyo kwa magari na vinginevyo.... vimetengenezwa.Basi hata dunia hii mmiliki yupo.