Chanzo cha familia yetu kubarikiwa na kuwa na maisha mazuri

Chanzo cha familia yetu kubarikiwa na kuwa na maisha mazuri

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Nataka Leo niongee na wazazi Kama mpo.

Sisi katika familia yetu upande wa babu yangu wamefanikiwa wote .

Je, ilikuaje wakafanikiwa familia nzima?

Kwanza Babu yangu alikuwa MTU mwema Sana alijitolea na kusaidia ndugu zake wote hivyo Karma ilimlipa .

Pia Mimi na ndugu zangu sote tumefanikiwa lakini hakuna juhudi inayoweza kuelezewa isipokuwa malipo ya karma tu.

So ukitenda wema lazima huo wema ukurudie kwako na kwa familia yako.

Cc Pascal Mayalla

Msiache kutenda mema wakuu ili mjinasue na vifungo vya umasikini.

Sisi ukisikia MTU anaumwa lazima atibiwe nje ulaya au India.
 
Nataka Leo niongee na wazazi Kama mpo.

Sisi katika familia yetu upande wa babu yangu wamefanikiwa wote .

Je, ilikuaje wakafanikiwa familia nzima?

Kwanza Babu yangu alikuwa MTU mwema Sana alijitolea na kusaidia ndugu zake wote hivyo Karma ilimlipa .

Pia Mimi na ndugu zangu sote tumefanikiwa lakini hakuna juhudi inayoweza kuelezewa isipokuwa malipo ya karma tu.

So ukitenda wema lazima huo wema ukurudie kwako na kwa familia yako.

Cc Pascal Mayalla

Msiache kutenda mema wakuu ili mjinasue na vifungo vya umasikini.

Sisi ukisikia MTU anaumwa lazima atibiwe nje ulaya au India.
Kuna rafiki yangu katoka kunihadithia juzi,

Baba yake alikuwa amjali kabisa, ilifikia baba akisikia dogo kafanikiwa mzee huwa anachukia mpaka leo, dogo aliyumba kidogo kiuchumi mwaka 2021 kipindi cha covid19, mzee wake akawa anapita akitangaza kuwa kiko wapi sasaiv amefulia,
Aisee kuna wazee ni nuksi kabisa
 
Back
Top Bottom