Chanzo cha familia yetu kubarikiwa na kuwa na maisha mazuri

Chanzo cha familia yetu kubarikiwa na kuwa na maisha mazuri

Kuna rafiki yangu katoka kunihadithia juzi,

Baba yake alikuwa amjali kabisa, ilifikia baba akisikia dogo kafanikiwa mzee huwa anachukia mpaka leo, dogo aliyumba kidogo kiuchumi mwaka 2021 kipindi cha covid19, mzee wake akawa anapita akitangaza kuwa kiko wapi sasaiv amefulia,
Aisee kuna wazee ni nuksi kabisa
Huyo mzee anazingua sana! 😂🙌
 
Kikubwa nilichoondoka nacho kwenye huu uzi, ni umuhimu wa kuwatendea wengine mema.


Mimi mwemyewe nina ushuhuda kupitia hii kutenda WEMA .


Kuna lecturer mmoja ndugu yangu alikuwa udsm huyu jamaa alikuwa MTU mwema Sana hata members wa JF baadhi wanamjua aliwafundisha


Ukija Mtaani alikuwa ni Kama anaugawana mshahara wake na watu

Ila watoto wake wote wamefanikiwa Sana yaani wanamaisha makubwa kikweli kweli.


IPO mifano mingi sana
 
Nataka Leo niongee na wazazi Kama mpo.

Sisi katika familia yetu upande wa babu yangu wamefanikiwa wote .

Je, ilikuaje wakafanikiwa familia nzima?

Kwanza Babu yangu alikuwa MTU mwema Sana alijitolea na kusaidia ndugu zake wote hivyo Karma ilimlipa .

Pia Mimi na ndugu zangu sote tumefanikiwa lakini hakuna juhudi inayoweza kuelezewa isipokuwa malipo ya karma tu.

So ukitenda wema lazima huo wema ukurudie kwako na kwa familia yako.

Cc Pascal Mayalla

Msiache kutenda mema wakuu ili mjinasue na vifungo vya umasikini.

Sisi ukisikia MTU anaumwa lazima atibiwe nje ulaya au India.
Bsbu yako alikuwa chama gani
 
Umetenda mema ili ufanikiwe , mfano umesaidia maskini ili ukwepe karma mbaya ambapo ni kama adhabu ,je hauoni utakua umesaidia kubeba karma mbaya za huyo maskini? Yan ni sawa na kumpunguzia mtu adhabu yake ya kifungo!!! Ebu fafanua hapo?🤔
Kuna familia Kama 10 nilikuwa naona wazazi wao walivyokuwa wanaishi hakika karma IPO matunda yanaonekana kwa familia zao .
 
kaka wewe una shida mahali niamini, tukusaide nn na familia yako? mara mama ako sjui vipi mara vurugu mtindo mmoja wallah you are not okay kichwani
 
Bsbu yako alikuwa chama gani
Chama si sababu. (SIO KWA UBAYA)

Babu yangu mzaa Baba alikuwa mfanyabiashara mkubwa na mtu mwenye uwezo sana! (Milionea) Miaka hiyo ya "70" mwisho mpaka "80" mwisho... Akajiingizaga kwenye mambo ya vyama na siasa za ujamaa... Alifia kwenye mkeka mnamo mwaka "1999" mpaka leo watoto wake wanajiuliza vilipukutikia wapi.
 
Nataka Leo niongee na wazazi Kama mpo.

Sisi katika familia yetu upande wa babu yangu wamefanikiwa wote .

Je, ilikuaje wakafanikiwa familia nzima?

Kwanza Babu yangu alikuwa MTU mwema Sana alijitolea na kusaidia ndugu zake wote hivyo Karma ilimlipa .

Pia Mimi na ndugu zangu sote tumefanikiwa lakini hakuna juhudi inayoweza kuelezewa isipokuwa malipo ya karma tu.

So ukitenda wema lazima huo wema ukurudie kwako na kwa familia yako.

Cc Pascal Mayalla

Msiache kutenda mema wakuu ili mjinasue na vifungo vya umasikini.

Sisi ukisikia MTU anaumwa lazima atibiwe nje ulaya au India.
Ukiona ukoo umebarikiwai
1.aujalaaniwa
2.wana upendo
3.watoaji kusaidia watu
4.wacha Mungu sana
5....wacha Mungu
6..wacha Mungu...
7...8.

Mbarikiwe sana mkuu koozingine zimelaaniwa zile laana zinatesa mpaka vizazi vya nne
 
Unataka kutuambia watu wote kwenye nyumba za Ibada hawajui na hawatendi Matendo ya huruma? mafanikio Yana uwanja mpana kuyaeleza,Kwa sababu mafanikio Kila mtu anayo baadhi ya mambo anayoyaita mafanikio, lakini Kwa mtu mwingine yakawa mambo ya kawaida TU.
 
Back
Top Bottom