Chanzo cha familia yetu kubarikiwa na kuwa na maisha mazuri

Chanzo cha familia yetu kubarikiwa na kuwa na maisha mazuri

kaka wewe una shida mahali niamini, tukusaide nn na familia yako? mara mama ako sjui vipi mara vurugu mtindo mmoja wallah you are not okay kichwani
kuna makaburi nini.

binafsi siamini katika karma. najua malipo yapo ila sio kwa namna hiyo alioielezea mtoa mada. japo matendo mema na haki ni moja ya nguzo zangu.
 
Unajua siri kama siri ni Ku-tap na kuelewa mambo ya universe vzr


Asilimia kubwa ya watu ambao tumefanikiwa hatujui tumefanikiwa vipi Ila trace familia yako hasa upande wa Baba.
Tuzame ndani sasa kwenye cosmos nitakuelewa tu mkuu.
 
Nataka Leo niongee na wazazi Kama mpo.

Sisi katika familia yetu upande wa babu yangu wamefanikiwa wote .

Je, ilikuaje wakafanikiwa familia nzima?

Kwanza Babu yangu alikuwa MTU mwema Sana alijitolea na kusaidia ndugu zake wote hivyo Karma ilimlipa .

Pia Mimi na ndugu zangu sote tumefanikiwa lakini hakuna juhudi inayoweza kuelezewa isipokuwa malipo ya karma tu.

So ukitenda wema lazima huo wema ukurudie kwako na kwa familia yako.

Cc Pascal Mayalla

Msiache kutenda mema wakuu ili mjinasue na vifungo vya umasikini.

Sisi ukisikia MTU anaumwa lazima atibiwe nje ulaya au India.
maana yake wote tunaoteseka au kutofanikiwa ni kuna malipo tunalipia ?
 
Hayanaga muongozo, ,

Kuna mzee mmoja alikuwa mwema sana tena zaidi ya sana, alifariki akaacha mali nyingi sana, alikuwa na watoto wawili tu wa kiume, ila ukiwaangalia watoto wake na baadhi ya wajukuu utalia machozi.

hakuna uhusiano wa utajiri na kutenda wema, kama unaongelea utajiri wa kuweza kubadili mboga sawa, ila kama ni utajiri in terms of millions / billions of us dollar, shekhe lazima mikono yako ichafuke.
 
Kuna mifano hai pia ya kutendewa ubaya na wale uliowatendea wema.., mifano ni mingi.., angalia JPM anachofanyiwa na watu wake wa awamu ya 6 kwa kumchafua kila kukicha…

Unachokisema ni kweli lakini huo mfano ulioutoa unaweza usiwe kipimo kizuri sana kwenye hii mada mkuu. Kumbuka tunapoongelea wema na ubaya, ipo kwa mtu binafsi zaidi, pia unaweza kumtendea mtu kitu akakitafsiri ni chema au kibaya. Inategemea na mtu anaamuaje kutafsiri na kuchukuliaje jambo. Ndio maana hauwezi kupendwa au kuchukiwa na watu wote, ilimradi umewatendea wema, inatosha. Na hasa pale ambapo umetenda bila kutarajia kitu kutoka kwa uliyemtendea.
 
Unachokisema ni kweli lakini huo mfano ulioutoa unaweza usiwe kipimo kizuri sana kwenye hii mada mkuu. Kumbuka tunapoongelea wema na ubaya, ipo kwa mtu binafsi zaidi, pia unaweza kumtendea mtu kitu akakitafsiri ni chema au kibaya. Inategemea na mtu anaamuaje kutafsiri na kuchukuliaje jambo. Ndio maana hauwezi kupendwa au kuchukiwa na watu wote, ilimradi umewatendea wema, inatosha. Na hasa pale ambapo umetenda bila kutarajia kitu kutoka kwa uliyemtendea.
Sawa, apumzike kwa amani.
 
Kufanikiwa, hakika ni dhana pana sana! Kwangu kuwa na furaha na amani ni mafanikio tosha, haijalishi namiliki nini..!
 
Nataka Leo niongee na wazazi Kama mpo.

Sisi katika familia yetu upande wa babu yangu wamefanikiwa wote .

Je, ilikuaje wakafanikiwa familia nzima?

Kwanza Babu yangu alikuwa MTU mwema Sana alijitolea na kusaidia ndugu zake wote hivyo Karma ilimlipa .

Pia Mimi na ndugu zangu sote tumefanikiwa lakini hakuna juhudi inayoweza kuelezewa isipokuwa malipo ya karma tu.

So ukitenda wema lazima huo wema ukurudie kwako na kwa familia yako.

Cc Pascal Mayalla

Msiache kutenda mema wakuu ili mjinasue na vifungo vya umasikini.

Sisi ukisikia MTU anaumwa lazima atibiwe nje ulaya au India.
Inaonekana Babu yako hana mikono ya Damu...yaani hakuwa miongoni mwa wasiojulikana
 
Embu nieleze zaidi una ushuhuda? Dah!


Hii inafanya kazi pia

Kufanya charity

Unajua kutengeneza mafanikio kuna ile favor fulani inakutokea katika mambo yako.

Mfano sisi tumepata Kazi kupitia ELIMU ya form six na baada ya muda Sana ndo tulienda shule.
 
Umetenda mema ili ufanikiwe , mfano umesaidia maskini ili ukwepe karma mbaya ambapo ni kama adhabu ,je hauoni utakua umesaidia kubeba karma mbaya za huyo maskini? Yan ni sawa na kumpunguzia mtu adhabu yake ya kifungo!!! Ebu fafanua hapo?🤔


Karma - maana yake ni account ya bank ukitenda Mabaya yanakaa katika account zako na ukitenda mazuri yanakaa katika account yako.


So karma is not favoritism is a debt

What you sow now you shall reap .


Kuhusu kumsaidia masikini - hii unakuwa unatengeneza good karma kwako wewe unayetoa msaada.


Karma haifundishwi katika Christian na Muslim Ila inafanya Kazi vizuri
 
Back
Top Bottom