ward41 JF-Expert Member Joined Apr 3, 2022 Posts 749 Reaction score 2,533 Nov 30, 2024 #1 Hawa watu wamekuwa wabunifu tangu zamani na Walipewa hiyo roho na Mungu MWENYEWE
Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Nov 30, 2024 #2 Nakubali
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 23,782 Reaction score 54,213 Nov 30, 2024 #3 Hiki sasa ndio kitabu kisicho na shaka ndani yake. Mungu wa Yakobo neno lake ni thabiti na ni hakika. Miungu imejitahidi kuiga ifananefanane lakini wapi!
Hiki sasa ndio kitabu kisicho na shaka ndani yake. Mungu wa Yakobo neno lake ni thabiti na ni hakika. Miungu imejitahidi kuiga ifananefanane lakini wapi!
Siri yangu JF-Expert Member Joined Jul 22, 2023 Posts 1,426 Reaction score 2,845 Nov 30, 2024 #4 umenena
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 37,957 Reaction score 26,414 Nov 30, 2024 #5 Masikini anakuja mpaka chupi anayovaa tajiri