Chanzo cha kuchokana, kununiana katika mahusiano/ndoa na jinsi ya kukabiliana na tatizo hili

Kuna siku jamaa kachelewa kurudi
mwanamke kamfungia jamaa nje mpaka usbuhi
Kesho yake jamaa hakutoka kabaki home
mwanamke kurudi jamaa hakumfungulia mlango
mwanamke akapita kwenye kila dirisha la
nyumba anavunja kioo
fungua,jamaa hafungui,
mwanamke anaongeza kuvunja kioo
mwishowe mwanaume kaona hii ni hasara
akamfungulia.....:smile-big:
 
Mafahari wawili hawakai zizi moja.. Kwa hiyo hata kudo wanaandikiana kuwa nina genye kisha wanado wakimaliza tena wanaandikana asante au inakuwaje?? Dah... Sipati picha
Kama mwanamke akifurahia utamu wa kirungu
mpaka ataje jina lake la utotoni,baaaas
kinywa kitakuwa kimefunguka
na ndio utakuwa mwanzo wa maongezi.
 
Afu wanalala kitanda kimoja? Hakuna hata salamu? Matumizi wanapeanaje?

Hamna kuongea hapo.. mnamegana kimya kimya no kelele no sauti.. Mnamaliza mnapeana migongo.. Mpaka mmoja aumwe au aje mgeni hapo..
 
Hamna kuongea hapo.. mnamegana kimya kimya no kelele no sauti.. Mnamaliza mnapeana migongo.. Mpaka mmoja aumwe au aje mgeni hapo..
Halafu ni mafundi wa kuingiza mbele za wageni,'balaa"
mgeni ...utasema ndoa ndio hii......
na utatamani uwe na familia kama hiyo...
kumbe..........usilolijua..............
 
Halafu ni mafundi wa kuingiza mbele za wageni,'balaa"
mgeni ...utasema ndoa ndio hii......
na utatamani uwe na familia kama hiyo...
kumbe..........usilolijua..............

Ikishapita 48 hrs toka mnuno uanze its obvious mmoja kama sio wote atakuwa anatafuta suluhu sema tu pride inawazuia.. so who's gonna break the ice hapa.. Wageni wakija wataongea na wakiondoka kutakuwa na kisingizio cha kuendelea kuongea bila without affecting their pride.. As simple as that..
 
Kimaandiko hutakiwi kulala na chuki mpaka asubuh kunakucha, mkikwazana zungumzeni peaneni makavu kisha mnasameheana.

Hapo kwenye kupeana makavu ndio pabaya,mi naona km ndio yataongeza mchuniano zaidi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…