M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wandugu maisha ya mke na mume ni maelewano kati ya wawili, so inapaswa kuridhiana na kuheshimiana kuna wakati kuna kuwa na tofauti/ugomvi hilo haliepukiki maana mmetoka kwenye background tofauti la muhimu ni kuongea kwa busara (si kwa hasira) na kuombana msamaha ikibidi. Kisha mnamalizia na SEX kupunguza JOTO HASIRA