Chanzo cha Mafuriko Morogoro mjini ni tuta la SGR, mamlaka zishughulikie hili

Chanzo cha Mafuriko Morogoro mjini ni tuta la SGR, mamlaka zishughulikie hili

Juzi Kihonda maji yalivuka barabara nikajiuliza miaka yote hapa halii hii sikuwahi kuiona kumbe sasa nimejua sababu.
Hayo matuta ya miaka 5 pale kihonda.

Kwanini mafuriko yatokee mwaka huu.

Mimi naona Sababu ni Moja

Serikali imepiga marufuku watu wasilime mpunga kwenye bonde la kihindo.

Kama unavyojua ardhi ya kulima mpunga isipotibuliwa tibuliwa ndio Inatwamisha maji kwa kiasi kikubwa. Na kupekekea mafuriko.

Waruhusu watu waendelee na shughuli za kilimo kwenye lilies bonde la mpunga la kihonda otherwise Kila mwaka mafuriko yatatokea tu.
 
Kwa nini watumie teknolojia ya kizamani ya ujenzi wa reli? tangu mkoloni bado yanajengwa matuta tu........

Kabla ya hilo tuta, mlima lukobe ulikuwa umetengeneza mkondo mkubwa wa maji ambao ulikuwa unapita kwenye maeneo ya makazi ya watu na kusababisha maji kutuama maeneo ya chini, sasa imagine hilo tuta lizuie huo mkondo hali inakuwaje.​
Walipaswa kuweka nguzo tu kama za buguruni to posta.

Pia ingesaidia

Lakini pia sio kama tuta ni tatizo sababu hata hapo lilipopita Wala sio sehemu kubwa sana na Kuna outlet kubwa sana.

Hapa yawezekana

Mindu imekaa sana au kupika marufuku kilimo Cha mpunga kwenye like bonde n. K
 
Siyo huko tu, maeneo mengi hilo tuta limebadili mkondo wa maji wa awali sema kwingine athari haijafikia kiwango cha kuwa mafuriko ila limeleta adha kubwa.
Nyie mnaona hayo tu mimi siwezi kumtembelea mchumba wangu kwao kwani uzio umewekwa tusitambuke reli, nikitaka niende inabidi nizunguruke kilomita kumi na tano kwenda na kumi na tano kurudi, masikini cheupe wangu mtoto wa kiluguru SGR imetutenganisha Mungu anawaona hao Waturuki..
 
Kuna Maafa makubwa yanakuja au yameshakuja hasa Jumamosi kuamkia Jumapili? Waambie hao Wanaoficha kuwa tunajua wa Kawaida kama 30 na wale wenye Dege lao Bovu la Mafunzo 13 waliokuwa katika Uokoaji hatunao tena Ulimwenguni.
Genta unaweza kufunguka zaidi maana hii habari nyeti!
 
Kuna Maafa makubwa yanakuja au yameshakuja hasa Jumamosi kuamkia Jumapili? Waambie hao Wanaoficha kuwa tunajua wa Kawaida kama 30 na wale wenye Dege lao Bovu la Mafunzo 13 waliokuwa katika Uokoaji hatunao tena Ulimwenguni.
Nonesense
 
Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.

Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!

Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!

Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Sio Morogoro pekee.
Mwaka jana nilipita barabara ya Tabora- Manyoni kuna mabonde mengi mikondo ya maji imezibwa kwa sgr kuinuliwa na wanaweka karavati ndogo sana.

Miundombinu ya SRG italeta maafa mengi sana
 
Kwa nini watumie teknolojia ya kizamani ya ujenzi wa reli? tangu mkoloni bado yanajengwa matuta tu........

Kabla ya hilo tuta, mlima lukobe ulikuwa umetengeneza mkondo mkubwa wa maji ambao ulikuwa unapita kwenye maeneo ya makazi ya watu na kusababisha maji kutuama maeneo ya chini, sasa imagine hilo tuta lizuie huo mkondo hali inakuwaje.​
Afu Kuna mtu hapo juu anasema matatu yanagharimu mno kuliko nguzo lakini wao wameweka tuta labda ni mara sana,lakini hao hao wanaotujengea kwao Huwa wanaweka zaidi nguzo kuliko matuta.
Screenshot_20240121-133510_1.jpg
 
Hayo matuta ya miaka 5 pale kihonda.

Kwanini mafuriko yatokee mwaka huu.

Mimi naona Sababu ni Moja

Serikali imepiga marufuku watu wasilime mpunga kwenye bonde la kihindo.

Kama unavyojua ardhi ya kulima mpunga isipotibuliwa tibuliwa ndio Inatwamisha maji kwa kiasi kikubwa. Na kupekekea mafuriko.

Waruhusu watu waendelee na shughuli za kilimo kwenye lilies bonde la mpunga la kihonda otherwise Kila mwaka mafuriko yatatokea tu.
Kumbe inaweza kuwa ni hivyo
 
Bwawa la Mindu limejaa sana, na likijaa huwa linatema maji(overflow), likiyatema hayo maji ndio yanazagaa mitaani.

Kuna mpango wa kulitanua liwe kubwa zaidi.

SSH, kabla hajazindua treni ya umeme, kwanza aangalie athari za kimazingira za mradi wa reli hiyo (environmental impact assessment).

Haya mambo jiwe alikuwa anakataa kuyafanya, watu wanamshangilia
Unasumbuliwa na uraibu. Hivi huyo jiwe angeangalia hadi kina na upana qa nguzo? Aangalie saizi za kokoto.

Aibu
 
Bwawa la Mindu limejaa sana, na likijaa huwa linatema maji(overflow), likiyatema hayo maji ndio yanazagaa mitaani.

Kuna mpango wa kulitanua liwe kubwa zaidi.

SSH, kabla hajazindua treni ya umeme, kwanza aangalie athari za kimazingira za mradi wa reli hiyo (environmental impact assessment).

Haya mambo jiwe alikuwa anakataa kuyafanya, watu wanamshangilia
Nakupendea hapo tuu unapomsagia kunguni fascist Jiwe.

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Mm nasemaje wabunge wa ccm mwakani kazi mnayo,rais yeye ameshajihakikishia point tatu muhimu lazima apite
 
Ukijaza TUTA au KIFUSI unalipwa pesa kubwa zaidi kuliko kuweka NGUZO kama unavyoshauri, hawa watu walikua wanawaza kupiga hela zaidi kuliko usalama wa watu, umesema ukweli
Ohoo! Ni kweli? Mimi nikajua nguzo ni gharama kuliko tuta!
 
Mimi mmoja kati ya wahanga wa ayo mafuriko kikweli imekua kelo kubwa kwa wakazi wa kihonda manyuki tumepoteza watoto na watu tunawowapenda hii leli selikali imekaaa kimya kama akuna kitu kilicho tokea
 
Back
Top Bottom