Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hayo matuta ya miaka 5 pale kihonda.Juzi Kihonda maji yalivuka barabara nikajiuliza miaka yote hapa halii hii sikuwahi kuiona kumbe sasa nimejua sababu.
Walipaswa kuweka nguzo tu kama za buguruni to posta.Kwa nini watumie teknolojia ya kizamani ya ujenzi wa reli? tangu mkoloni bado yanajengwa matuta tu........
Kabla ya hilo tuta, mlima lukobe ulikuwa umetengeneza mkondo mkubwa wa maji ambao ulikuwa unapita kwenye maeneo ya makazi ya watu na kusababisha maji kutuama maeneo ya chini, sasa imagine hilo tuta lizuie huo mkondo hali inakuwaje.
Nyie mnaona hayo tu mimi siwezi kumtembelea mchumba wangu kwao kwani uzio umewekwa tusitambuke reli, nikitaka niende inabidi nizunguruke kilomita kumi na tano kwenda na kumi na tano kurudi, masikini cheupe wangu mtoto wa kiluguru SGR imetutenganisha Mungu anawaona hao Waturuki..Siyo huko tu, maeneo mengi hilo tuta limebadili mkondo wa maji wa awali sema kwingine athari haijafikia kiwango cha kuwa mafuriko ila limeleta adha kubwa.
Masalamunda, ole mhola?Bwawa la mindu limejengwa na Magufuli?
Genta unaweza kufunguka zaidi maana hii habari nyeti!Kuna Maafa makubwa yanakuja au yameshakuja hasa Jumamosi kuamkia Jumapili? Waambie hao Wanaoficha kuwa tunajua wa Kawaida kama 30 na wale wenye Dege lao Bovu la Mafunzo 13 waliokuwa katika Uokoaji hatunao tena Ulimwenguni.
NonesenseKuna Maafa makubwa yanakuja au yameshakuja hasa Jumamosi kuamkia Jumapili? Waambie hao Wanaoficha kuwa tunajua wa Kawaida kama 30 na wale wenye Dege lao Bovu la Mafunzo 13 waliokuwa katika Uokoaji hatunao tena Ulimwenguni.
Sio Morogoro pekee.Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.
Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye njia zake za asili na kuyakusanya yote na kupita kwenye outlet mbili walizozoelekeza kwenye makazi ya watu!
Hata kama mvua hainyeshi mjini imenyesha Milimani ni mafuriko mjini hasa maeneo ya Lukobe, Azimio, Manyuki na Kihonda!
Kuna maafa makubwa yanakuja! Barabara zote za maeneo haya zimekatika. Rais tafadhali unda tume ujiridhishe na ukweli huu. Hatua zichukuliwe.
Nchi ya kitapeli.Yako nje ya uwezo wake kimbinu maana wasaidizi wake wako busy kumhadaa kuhusu 2025 kuwa anakubalika ili wao wazidi kupiga maokoto kirahisi.
Wanalazimisha mikutano iwe Nyomi kwa nguvu na ahadi hewa kama za Bashite.
View attachment 2888001
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Afu Kuna mtu hapo juu anasema matatu yanagharimu mno kuliko nguzo lakini wao wameweka tuta labda ni mara sana,lakini hao hao wanaotujengea kwao Huwa wanaweka zaidi nguzo kuliko matuta.Kwa nini watumie teknolojia ya kizamani ya ujenzi wa reli? tangu mkoloni bado yanajengwa matuta tu........
Kabla ya hilo tuta, mlima lukobe ulikuwa umetengeneza mkondo mkubwa wa maji ambao ulikuwa unapita kwenye maeneo ya makazi ya watu na kusababisha maji kutuama maeneo ya chini, sasa imagine hilo tuta lizuie huo mkondo hali inakuwaje.
Kumbe inaweza kuwa ni hivyoHayo matuta ya miaka 5 pale kihonda.
Kwanini mafuriko yatokee mwaka huu.
Mimi naona Sababu ni Moja
Serikali imepiga marufuku watu wasilime mpunga kwenye bonde la kihindo.
Kama unavyojua ardhi ya kulima mpunga isipotibuliwa tibuliwa ndio Inatwamisha maji kwa kiasi kikubwa. Na kupekekea mafuriko.
Waruhusu watu waendelee na shughuli za kilimo kwenye lilies bonde la mpunga la kihonda otherwise Kila mwaka mafuriko yatatokea tu.
Huu upumbavu unaanza kurudi kama mtu hakubaliki mnalazimishaje watu wamkubaliYako nje ya uwezo wake kimbinu maana wasaidizi wake wako busy kumhadaa kuhusu 2025 kuwa anakubalika ili wao wazidi kupiga maokoto kirahisi.
Wanalazimisha mikutano iwe Nyomi kwa nguvu na ahadi hewa kama za Bashite.
View attachment 2888001
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Huu upumbavu unaanza kurudi kama mtu hakubaliki mnalazimishaje watu wamkubaliYako nje ya uwezo wake kimbinu maana wasaidizi wake wako busy kumhadaa kuhusu 2025 kuwa anakubalika ili wao wazidi kupiga maokoto kirahisi.
Wanalazimisha mikutano iwe Nyomi kwa nguvu na ahadi hewa kama za Bashite.
View attachment 2888001
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Unasumbuliwa na uraibu. Hivi huyo jiwe angeangalia hadi kina na upana qa nguzo? Aangalie saizi za kokoto.Bwawa la Mindu limejaa sana, na likijaa huwa linatema maji(overflow), likiyatema hayo maji ndio yanazagaa mitaani.
Kuna mpango wa kulitanua liwe kubwa zaidi.
SSH, kabla hajazindua treni ya umeme, kwanza aangalie athari za kimazingira za mradi wa reli hiyo (environmental impact assessment).
Haya mambo jiwe alikuwa anakataa kuyafanya, watu wanamshangilia
Nakupendea hapo tuu unapomsagia kunguni fascist Jiwe.Bwawa la Mindu limejaa sana, na likijaa huwa linatema maji(overflow), likiyatema hayo maji ndio yanazagaa mitaani.
Kuna mpango wa kulitanua liwe kubwa zaidi.
SSH, kabla hajazindua treni ya umeme, kwanza aangalie athari za kimazingira za mradi wa reli hiyo (environmental impact assessment).
Haya mambo jiwe alikuwa anakataa kuyafanya, watu wanamshangilia
Ohoo! Ni kweli? Mimi nikajua nguzo ni gharama kuliko tuta!Ukijaza TUTA au KIFUSI unalipwa pesa kubwa zaidi kuliko kuweka NGUZO kama unavyoshauri, hawa watu walikua wanawaza kupiga hela zaidi kuliko usalama wa watu, umesema ukweli