Chanzo cha mauaji ya Tupac Shakur na Biggie Smalls

Mkuu plz nisaidie jina LA hiyo documentary nidownload saiv,nmependa ulivoelezea kidogo hapo juu.
 
Neno tupac shakur alilipewa na mlatino likimaanisha the rising serpent(JOKA LILILOTOKEZA).
Kiistoria biggie na pac waliishi kitaa huko brooklyn new york na baadae kila mmoja alijiweka ktk west side na east side ambayo ni kina pdidy.
ukiskiliza miziki ya tupac alikuwa akikosoa sana iluminati(masonic)hasa ktk album don kiluminati hvyo alikuwa mrengo wa kushoto na hii society hata jayz alitukanwa sana na pac akimwambia hakuwa na nyota ya kimuziki ndo mana akajiunga na iluminati.
Tupac alikuwa n maadui wengi kwa kuwa hakuwa mnafiki alikuwa anakuchana bila kujali we nani.
Kifo chake ni utata ila sio big alihusika ingawa didy ndo alimuua big ktk maslahi ya lebo ya badboy.ila walimuua kiuhalisia ni FBI
 
mi ninachodhani ni kuwa 2pac amekufa kitambo, kama angekua hai bs sidhani kama angekosa kuhudhuria mazishi ya mama yake mzazi.
 
Watz bwana, hamna kazi ya kufanya au????
wenyewe USA wameshamove on nyie bado tuuu, wengine hata hamjui mnachoandika mnakuja na story za mitaani, kwani wao ndio wa kwanza kufa. Kwa taarifa US kila siku wanauwana kama kuku marapa, wanamichezo nk nk na hamna mtu anajali so invest muda wenu kamsaidia Mr Magu.
 



Shakur is arabic for the thankfull on!
 
kwa sababu tunawapenda mkuu. hii ni love ndo maana tunataka kujua ukweli wa mambo.
 
mi ninachodhani ni kuwa 2pac amekufa kitambo, kama angekua hai bs sidhani kama angekosa kuhudhuria mazishi ya mama yake mzazi.
mkuu ni kweli alikua anampenda sana ukisikiliza dear mama utaamini ila ataweza ata akabadilisha sura si unajua mambo ya plastic surgery tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…