Chanzo cha mauaji ya Tupac Shakur na Biggie Smalls

Chanzo cha mauaji ya Tupac Shakur na Biggie Smalls

Neno tupac shakur alilipewa na mlatino likimaanisha the rising serpent(JOKA LILILOTOKEZA).
Kiistoria biggie na pac waliishi kitaa huko brooklyn new york na baadae kila mmoja alijiweka ktk west side na east side ambayo ni kina pdidy.
ukiskiliza miziki ya tupac alikuwa akikosoa sana iluminati(masonic)hasa ktk album don kiluminati hvyo alikuwa mrengo wa kushoto na hii society hata jayz alitukanwa sana na pac akimwambia hakuwa na nyota ya kimuziki ndo mana akajiunga na iluminati.
Tupac alikuwa n maadui wengi kwa kuwa hakuwa mnafiki alikuwa anakuchana bila kujali we nani.
Kifo chake ni utata ila sio big alihusika ingawa didy ndo alimuua big ktk maslahi ya lebo ya badboy.ila walimuua kiuhalisia ni FBI
mkuu uko deep sana hongera kumbe jamaa. alikua anti masonic?? inaelekea wengi wanahusika katika kifo chake ila nkisikiliza zile nyimbo za hiem em up na who shot ya ya biggie napata picha ya mbali sana
 
Tupeane ukweli kuhusu vifo vya hawa manguli wa hip hop walijipatia umaarufu wa kipejee katika historia ya hip hop, hawa walikua marafiki ila baadae walitofautiana na kuwa maadui wakubwa kabisa pia inasemekana kama diddy na suge wanaujua ukweli ila hawasemi
Ebo!! mimi nimeingia nikijua ndio una shusha kapu kumbe huna lolote unge wauliza basi wakuambie ndio utuite,dah!
 
Ni jana tu nilikuwa naangalia documentary ya Tupac na Biggie,kusema ukweli mpaka mwisho nilivyomaliza kuangalia hiyo documentary nimeconclude kutokana na evidence mbalimbali ambazo muandaaji alizi present kuwa muuaji wa tupac na biggie ni Suge knight pekee...Kwanza kisa hasa cha kuuwawa Tupac ni wazo lake la kuondoka death row records,ambao mpaka muda anaondoka alikuwa anawadai dola mil 10, na alitaka pia kuchukua nyimbo zake ambazo alikuwa tayari amekwisha zirekodi. Pili Hata kifo cha Tupac utaona Suge knight alikipanga, kwa kawaida 2pac huwa na mabodigadi wawili,lakini mmoja alipewa likizo fupi,na wa pili mpaka siku ya tukio aliambiwa aache bunduki yake, tatu kile kisa kilichotokea cha mtu kupigwa na kina tupac walipokuwa wanatoka kuangalia pambano la mike Tyson ni kuwa kuna watu waliambiwa waseme wamwambie tupac kuwa kuna jamaa alishiriki kukupora cheni yako,ambae huyo jamaa yupo kundi la creeps,ili ionekane kuuwawa kwa tupac ni retaliation ya creeps baada ya member wao kupigwa na kudhalilishwa na 2pac.Ukiangalia mtu aliekuwa nyuma ya yote haya ni Suge Knight.Ukija upande wa Big,sio kweli kwamba big alikuwa anamchukia tupac na walikuwa wana beef..huo ni uongo kabisa,na zilikuwa propaganda tu za C.I.A na FBI ambao walikuwa na ajenda zao. Muuaji wa Biggie ni Suge knight,ambae alimpa kazi hiyo Harry Billups a.k.a Amir Muhammad,huyu jamaa wamekuwa wote na Suge knight mtaa mmoja na kwenye documentary hiyo Lil Cease na aliekuwa bodigadi wa Big walimuona siku ya tukio..Ukiangalia documentary hiyo biggie hakuwa ana kinyongo na 2pac kwasababu alikuwa anamjua kichwa moto,na hata ile mara ya kwanza tupac alipigwa risasi 5,biggie alienda kumsalimia hospital na akaongea na baba yake tupac...Unaweza ipakua hii documentary kupitia utorrent ambapo muongozaji amejitahidi sana kuchimba mambo.Peace
mkuu embu endelea kusimulia,ila napatamani zaidi hapo kwenfe FBI na CIA
 
mkuu bado kifo cha 2pac ni cha kusadikika kwa sababu maiti yake sijui kama ilionekana na hata kama haikuonekana kwa nini waifiche?? ni baadhi ya mambo kwamba jamaa hajafa hata ukisikiliza nyimbo zake amekua sana akitaja mazingira ya kifo chake kama ilivyotokea. ukisoma seven theory day ya jamaa utanielewa mkuu. pia wanasema huyu jamaa alikua mfuasi wa shetani kutokana na mtindo wake wa maisha na lyrics zake. maneno kama makaveli yana maana pana sana.
mkuu unamaanisha kaburi la tupac halifahamiki lilipo??
 
Neno tupac shakur alilipewa na mlatino likimaanisha the rising serpent(JOKA LILILOTOKEZA).
Kiistoria biggie na pac waliishi kitaa huko brooklyn new york na baadae kila mmoja alijiweka ktk west side na east side ambayo ni kina pdidy.
ukiskiliza miziki ya tupac alikuwa akikosoa sana iluminati(masonic)hasa ktk album don kiluminati hvyo alikuwa mrengo wa kushoto na hii society hata jayz alitukanwa sana na pac akimwambia hakuwa na nyota ya kimuziki ndo mana akajiunga na iluminati.
Tupac alikuwa n maadui wengi kwa kuwa hakuwa mnafiki alikuwa anakuchana bila kujali we nani.
Kifo chake ni utata ila sio big alihusika ingawa didy ndo alimuua big ktk maslahi ya lebo ya badboy.ila walimuua kiuhalisia ni FBI
so,unamaanisha didy alitumia fbi kumuua biggy,,na fbi wakakubali,,,AU unamaana gani mkuu
 
Ni jana tu nilikuwa naangalia documentary ya Tupac na Biggie,kusema ukweli mpaka mwisho nilivyomaliza kuangalia hiyo documentary nimeconclude kutokana na evidence mbalimbali ambazo muandaaji alizi present kuwa muuaji wa tupac na biggie ni Suge knight pekee...Kwanza kisa hasa cha kuuwawa Tupac ni wazo lake la kuondoka death row records,ambao mpaka muda anaondoka alikuwa anawadai dola mil 10, na alitaka pia kuchukua nyimbo zake ambazo alikuwa tayari amekwisha zirekodi. Pili Hata kifo cha Tupac utaona Suge knight alikipanga, kwa kawaida 2pac huwa na mabodigadi wawili,lakini mmoja alipewa likizo fupi,na wa pili mpaka siku ya tukio aliambiwa aache bunduki yake, tatu kile kisa kilichotokea cha mtu kupigwa na kina tupac walipokuwa wanatoka kuangalia pambano la mike Tyson ni kuwa kuna watu waliambiwa waseme wamwambie tupac kuwa kuna jamaa alishiriki kukupora cheni yako,ambae huyo jamaa yupo kundi la creeps,ili ionekane kuuwawa kwa tupac ni retaliation ya creeps baada ya member wao kupigwa na kudhalilishwa na 2pac.Ukiangalia mtu aliekuwa nyuma ya yote haya ni Suge Knight.Ukija upande wa Big,sio kweli kwamba big alikuwa anamchukia tupac na walikuwa wana beef..huo ni uongo kabisa,na zilikuwa propaganda tu za C.I.A na FBI ambao walikuwa na ajenda zao. Muuaji wa Biggie ni Suge knight,ambae alimpa kazi hiyo Harry Billups a.k.a Amir Muhammad,huyu jamaa wamekuwa wote na Suge knight mtaa mmoja na kwenye documentary hiyo Lil Cease na aliekuwa bodigadi wa Big walimuona siku ya tukio..Ukiangalia documentary hiyo biggie hakuwa ana kinyongo na 2pac kwasababu alikuwa anamjua kichwa moto,na hata ile mara ya kwanza tupac alipigwa risasi 5,biggie alienda kumsalimia hospital na akaongea na baba yake tupac...Unaweza ipakua hii documentary kupitia utorrent ambapo muongozaji amejitahidi sana kuchimba mambo.Peace
Asante kwa majibu ambayo ni faida kwa wengi ambao hatukuelewa chanzo, ila hawa waliotoa majibu ya kukera sio vizuri na wala si lazima kila mada uchangie kama hujui soma pita kimya, hii sehemu ina watu wazima sidhani kama kuna watoto humu na kama wapo watakuwa wamekosea jukwaa, tuelimishane kwa upole.
 
mkuu nashukuru sana kwa maelezo safi ila najua bigie na pac walikua hawapatani ukisikiliza wimbk wa pac hit em up utanielewa nachomanisha mkuu asante.
Hiz beef za kutengenezw pac walimtngenez aone Not- Bigg ndo mzinguaj wake
 
mkuu bado kifo cha 2pac ni cha kusadikika kwa sababu maiti yake sijui kama ilionekana na hata kama haikuonekana kwa nini waifiche?? ni baadhi ya mambo kwamba jamaa hajafa hata ukisikiliza nyimbo zake amekua sana akitaja mazingira ya kifo chake kama ilivyotokea. ukisoma seven theory day ya jamaa utanielewa mkuu. pia wanasema huyu jamaa alikua mfuasi wa shetani kutokana na mtindo wake wa maisha na lyrics zake. maneno kama makaveli yana maana pana sana.
Unajua mchizi alikuwa anazungumzia sana hii ishu hata kuony watu . kuna ngoma yak inaitwa Killuminat
Kun interview moja alikuwa akizungumzia kuwa kuna watu they tryin to keep on Eye on You...........
Alikuwa introduced kwenye hiii ishu bt alikuwa ana hasi
 
Kwny Siasa zetu huenda nako tunaelekea huku soon Allah atuepushe!
Kwani siasa hilo litakua jipya Mkuu ? Vipi Sokoine ama Chacha Wangwe ,vipi kina Mvungi na Mgimwa na na Prof Juan ?
 
Back
Top Bottom