Chanzo cha mauaji ya Tupac Shakur na Biggie Smalls

mkuu suge knight anatajwa sana kwenye mauaji ya watu hawa wawili,,,,naomba nimfahamu angalu kidogo na uhusiano wake na fbi katika sakata hili.
Hawana uhusiano wowote,labda alitumiwa bila kujua,kitu ambacho watu wa intelijensia wako vizuri katika kufanya,wanavujisha taarifa kwako ambazo zitakufanya ureact.Katika mauaji hayo suge alitumia askari wa LAPD ambae ni Harry Billups...ambae kumbe ni member mwenzake kwenye kundi la kihalfu la Blood.Uamuzi wa kumuua biggie inasemekana alifanya ili ionekane kifo cha 2pac kilitokana na bifu ya east coast -west coast, na si yeye aliehusika.
 
asante mkuu,asante kwa mda wako natumai nitaendelea kujua mengi humu
 

Relax babaa, umepanick.

First and foremost, sijui umetoa wapi kwamba nakuzungumzia wewe. But anyway, ni fresh tu.

Nimeangalia documentaries zote zinazomuhusu Tupac, ila sijawahi kukutana na inayoitwa "Tupac and Biggie", na inayotaja uliyoelezea. Ila kama ulivyosema, mi ni nani kubisha, right?

So, endelea tu. Won't kill your vibe.
 
Ipo..icheki..inaitwa Biggie and Tupac(2002) Chill.Peace!
 
yasiokuhusu achana nayo we pita pembeni mimi sijui ndo maana nauliza?? inshort mimi mjinga sasa wewe unaeringa potelea mbali acha nielimishwe punda wewe.

Mkuu acha kupaniki. Mi sikucheki wewe, nacheka hizo theory zinazoletwa humu kuhusu vifo vya hao watu.
 
Salute, sio ao watu uko juu mtu anauliza wao badala ya kujibu wanamjibu ovyo.
 
hawa vijana walisha jiingiza kwenye kale ka chama ka siri.

Na yawezekana walikiuka masharti ya chama chao, shetani hana rafiki.

Na kundi kubwa la wanamuziki duniani na filamu ni wanajumuia ya siri.

Ndiyo maana wana haribu sana jamii, ni uchafu mtupu, mtu unakuta anaimba chura, jiulize unaujumbe gani zaidi ya kuwaingizia watu mapepo ya uzinzi?

Poleni sana walaji wa maajenti hawa, mnaimbishwa na kumchezea shetani bila kujijua.
 
Wabongo tunatisha sana. Sijawahi kushindwa kuongea kwenye issue yoyote inayomuhusu Tupac, ila hapa nimeshindwa hata nianzie wapi.
Funguka bruh, maana me mweyewe uwa natamani sana kujua ila nasikia tu story nyingi ambazo uwa nashindwa kujua ipi ni ya ukweli ipi ni ya uongo.
 

Sasa ww mtafute didy mm ntamtafuta suge knight alaf tutaunganisha hadith
 
kwa kweli mkuu nimeskia sana haya mambo kwa kijana 2pac nikisoma ile 7day theory nawaza mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…