Maisha baada ya matokeo ya Uchaguzi wa Tanzania 2020 yameleta gumzo na mjadala usiokua na dalii za kufika tamati. Dalili zote zinaonyesha kuwa chanzo cha marumbano na migogoro endelevu ya kisiasa ni madhara mabaya ya mfumo wa vyama vingi.
Mfumo wa vyama vingi unaleta chuki mbaya na migogoro endelevu kati yetu sisi kwa sisi isiyokua na mwisho hadi kufikia hatua ya kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Mfumo wa vyama vingi hupandikiza chuki mbaya sana, inayoota taratibu kati ya chama tawala na baadhi ya vyama vya upinzani kama vile kipele cha cancer kinavyoota mwilini, ambacho kinaweza kuleta madhara makubwa sana mwilini endapo kisipotibiwa.
Je, mfumo wa vyama vingi wenye madhara mabaya kama hayo unatufaa sisi watanzania ??
Kama hautufai, ni mfumo gani unaofaa kutumika ili kuleta umoja, nguvu na mshikamano hapa Tanzania??
Mfumo wa vyama vingi unaleta chuki mbaya na migogoro endelevu kati yetu sisi kwa sisi isiyokua na mwisho hadi kufikia hatua ya kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Mfumo wa vyama vingi hupandikiza chuki mbaya sana, inayoota taratibu kati ya chama tawala na baadhi ya vyama vya upinzani kama vile kipele cha cancer kinavyoota mwilini, ambacho kinaweza kuleta madhara makubwa sana mwilini endapo kisipotibiwa.
Je, mfumo wa vyama vingi wenye madhara mabaya kama hayo unatufaa sisi watanzania ??
Kama hautufai, ni mfumo gani unaofaa kutumika ili kuleta umoja, nguvu na mshikamano hapa Tanzania??