Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bibiBarikiwa
Achana na kula kulalaHivi wewe uliwahi kuishi kwenye mfumo wa chama kimoja au unajiandikia tu ??
Rejea kwenye mada husika pls. Kama huwezi kuchangia hoja basi potezea.Hivi wewe uliwahi kuishi kwenye mfumo wa chama kimoja au unajiandikia tu ??
You are wrong. What have we apart from "madafu na korosho"? The problem is: We are running a multiparty system under a one party constitution.Ugomvi kwenye nchi zetu wala siyo mfumo wa vyama vingi tatizo ni utajiri wa raslimali zetu ambao ni kichocheo cha nchi za nje kugombanisha ili zirudi kuvuna. That is all.
Achana na kula kulala
Kweli asee mkuuManeno hayo waambie hao waliochaguwa kuleta majeshi ya kukodiwa kutoka Burundi kuja kusaidia kuiba kura
Rejea kwenye mada husika pls. Kama huwezi kuchangia hoja basi potezea.
Kama ww unakijua nilichokiandika, basi andika mtazamo wako hapa badala ya hayo uliyoyaandika.Hata ulichokiandika kumbe hukijui ??
Kama ww unakijua nilichokiandika, basi andika mtazamo wako hapa badala ya hayo uliyoyaandika.
Jibu kwanza maswali niliyouliza kwenye mada husika, ukimaliza kunijibu, nitakujibu maswali uliyoniuliza.Nijibu hili swali kwanza
Hivi uliwahi kuishi kwenye mfumo wa chama kimoja ??
Nilitangulia kukuuliza , kama ulinijibu swali langu hayo yote yasingalifika hapaJibu kwanza maswali niliyouliza kwenye mada husika, ukimaliza kunijibu, nitakujibu maswali uliyoniuliza.