Chanzo cha Migogoro Endelevu ya Kisiasa Nchini Tanzania

Chanzo cha Migogoro Endelevu ya Kisiasa Nchini Tanzania

@Suelsmael, Chesi20,

Nadhani wanasiasa wa Tz wana mengi ya kujifunza toka kwa John Mccain.
Angalieni hapa chini jinsi Mccain alivyokataa kum-demonize mpinzani wake.
Tunaweza kuwa na sheria nzuri ajabu, lakini kama hatuna watu ambao ni decent ktk siasa zetu basi ni kazi bure.
Watanzania kwa bahati mbaya tangu miaka ya 60 na 70 tulifundishwa kufanya siasa mbaya, na kizazi cha sasa kinaendeleza, na kuvuna kilichopandwa tangu zamani.

 
Nakubaliana na ww kuwa kuna chuki kati ya CCM kwa CCM.
Mtazamo wangu pia chuki ipo kati ya chadema kwa chadema au cuf na cuf. Mfano, kama sio chuki ndani ya chama kimoja, wale wabunge wa chadema kuhamia CCM, au yule kiongozi wa CUF kuhamia ACT wazalendo!
Ndani ya CCM siyo chuki ni vita
 
Ndani ya CCM siyo chuki ni vita
Kama kuna vita ndani ya CCM, mbona sijasikia Viongozi wao wakikimbilia Ubalozi wa Ujerumani kuomba hifadhi na kusema maisha yao yapo hatarini?? Au kukimbilia Kenya?

Au ulimaanisha vita iliyopo CCM ni vya kupambania rasilimali zetu, kukomesha ufisadi??
 
Kama kuna vita ndani ya CCM, mbona sijasikia viongozi wao wakikimbilia ubalozi wa ujerumani kuomba hifadhi na kusema maisha yao yapo hatarini?? Au kukimbilia Kenya?

Au ulimaanisha vita iliyopo CCM ni vya kupambania rasilimali zetu, kukomesha ufisadi??
Tetetete
 
Huwezi kunipangia mkuu sababu hunihudumii
Basi usijibu vitu ambavyo hujaulizwa. Kama hujaelewa uliza ueleweshwe. Hutaki kueleweshwa, potezea, hudumia familia yako.
 
Katiba mpya ndilo jawabu. Tatizo ni kuwa tunaendesha mfumo wa vyama vingi ndani ya Katiba ya chama kimoja. " A round peg never fits in a round hole". Bila ya Katiba mpya nchi itaangamia.
 
Back
Top Bottom