Ndani ya CCM siyo chuki ni vitaNakubaliana na ww kuwa kuna chuki kati ya CCM kwa CCM.
Mtazamo wangu pia chuki ipo kati ya chadema kwa chadema au cuf na cuf. Mfano, kama sio chuki ndani ya chama kimoja, wale wabunge wa chadema kuhamia CCM, au yule kiongozi wa CUF kuhamia ACT wazalendo!
Asante kwa kuandika mtazamo wakoChanzo cha migogoro ni magu na genge lake.
Hayoyote no matokeo ya kufikia malengo kisayansi.Ndani ya CCM kuna chuki kubwa kupita hata hizi za wapinzani na CCM. Fanya research mkuu
OkHayoyote no matokeo ya kufikia malengo kisayansi.
Kama kuna vita ndani ya CCM, mbona sijasikia Viongozi wao wakikimbilia Ubalozi wa Ujerumani kuomba hifadhi na kusema maisha yao yapo hatarini?? Au kukimbilia Kenya?Ndani ya CCM siyo chuki ni vita
TeteteteKama kuna vita ndani ya CCM, mbona sijasikia viongozi wao wakikimbilia ubalozi wa ujerumani kuomba hifadhi na kusema maisha yao yapo hatarini?? Au kukimbilia Kenya?
Au ulimaanisha vita iliyopo CCM ni vya kupambania rasilimali zetu, kukomesha ufisadi??
Umeisoma ukaielewaTetetete
BadoUmeisoma ukaielewa
Soma tena utaelewa tuBado
Sina huo muda, familia yangu utaihudumia?Soma tena utaelewa tu
Ila una muda wa kujibu post. Familia yako unaihudumia saa ngapi wakati unajibu hizi post.Sina huo muda, familia yangu utaihudumia?
Huwezi kunipangia mkuu sababu hunihudumiiIla una muda wa kujibu post. Familia yako unaihudumia saa ngapi wakati unajibu hizi post.
Basi usijibu vitu ambavyo hujaulizwa. Kama hujaelewa uliza ueleweshwe. Hutaki kueleweshwa, potezea, hudumia familia yako.Huwezi kunipangia mkuu sababu hunihudumii
Pumzika kwa amani mkuuBasi usijibu vitu ambavyo hujaulizwa. Kama hujaelewa uliza ueleweshwe. Hutaki kueleweshwa, potezea, hudumia familia yako.
Sindano yenye dawa imeshakuingia.Pumzika kwa amani mkuu
Sawa MkuuSindano yenye dawa imeshakuingia.
BarikiwaSawa Mkuu