Njoo inboxKwa hio amebai babu tale mswahili wa roho?
Nilidhani zuchu ni kiki tu za kawaida kumbe mwaki anachapa kiukweli ukweli daah hater ntaonekana mbaya ngoja niishie hapa
Njoo inbox
Ana lake jambo 😃Mkuu kwani ukitype hapa kuna tatizo gani?
Unataka ukamfanyaje dada wa watu?Njoo inbox
Umbea wakosaji hawana contentChanzo kikuu kilichomuanoda mendez salam k wcb ni hiki shuka na mimi
Mendez kama meneja alimshauri boss wake diamond kwenye relationship status hawez kua na zuchu
Maana hana mvuto kibiashara ukilinganisha zari wema na hamisa
Lakn diamond aligeuka mbogo wakazinguana sanaa...lkn kwakua mendez ni mzungu wa roho akaamua kujiondoa kimyakimya na kufnya njia za kwenda Konde gang
We kama umeitwa nenda wenzako hiyo chance huwa wanangoja na hatuwaiti.Mkuu kwani ukitype hapa kuna tatizo gani?
Jana kapost show ya diamond na Zuchu , au anamanage wote na kondegangChanzo kikuu kilichomuanoda mendez salam k wcb ni hiki shuka na mimi
Mendez kama meneja alimshauri boss wake diamond kwenye relationship status hawez kua na zuchu
Maana hana mvuto kibiashara ukilinganisha zari wema na hamisa
Lakn diamond aligeuka mbogo wakazinguana sanaa...lkn kwakua mendez ni mzungu wa roho akaamua kujiondoa kimyakimya na kufnya njia za kwenda Konde gang
Kwa nini huamini?Ila Hadi leo siamini kama kweli mond na zuchu wanaunganisha vikojoleo
Nani alikuambia?Chanzo kikuu kilichomuanoda mendez salam k wcb ni hiki shuka na mimi
Mendez kama meneja alimshauri boss wake diamond kwenye relationship status hawez kua na zuchu
Maana hana mvuto kibiashara ukilinganisha zari wema na hamisa
Lakn diamond aligeuka mbogo wakazinguana sanaa...lkn kwakua mendez ni mzungu wa roho akaamua kujiondoa kimyakimya na kufnya njia za kwenda Konde gang
We kama umeitwa nenda wenzako hiyo chance huwa wanangoja na hatuwaiti.
Basi tu imetokea ivyoKwa nini huamini?
Mi sifahamu kama wanatoka na sina ushahidi lakini kama wanatoka Zuchu ni mwanamke mwenye muonekano wa kawaida nahisi ndio maana wengi wanaji '?'Basi tu imetokea ivyo
Mbona Sallam anapost event ya show ya Zuchu na Diamond ya tarehe 31 Dec siku zote mbona mnakuwa wazushi.Chanzo kikuu kilichomuanoda mendez salam k wcb ni hiki shuka na mimi
Mendez kama meneja alimshauri boss wake diamond kwenye relationship status hawez kua na zuchu
Maana hana mvuto kibiashara ukilinganisha zari wema na hamisa
Lakn diamond aligeuka mbogo wakazinguana sanaa...lkn kwakua mendez ni mzungu wa roho akaamua kujiondoa kimyakimya na kufnya njia za kwenda Konde gang
Siamini kama ndiyo sababu.Chanzo kikuu kilichomuanoda mendez salam k wcb ni hiki shuka na mimi
Mendez kama meneja alimshauri boss wake diamond kwenye relationship status hawez kua na zuchu
Maana hana mvuto kibiashara ukilinganisha zari wema na hamisa
Lakn diamond aligeuka mbogo wakazinguana sanaa...lkn kwakua mendez ni mzungu wa roho akaamua kujiondoa kimyakimya na kufnya njia za kwenda Konde gang