Chanzo cha Sallam SK kujitoa WCB

Kwahiyo nawewe unaamini sallam katoka wcb?
 
Mama yako alimiliki ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli kibiashara zari na hamisa wanaamsha zaidi ya zuchu.
 
Na inawezekana alipownda kwa Konde Gang ndio akamshauri aachane na Kajala kwakuwa hana mvuto wa kibiashara! Ahahahahah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…