Chanzo cha Sallam SK kujitoa WCB

Chanzo cha Sallam SK kujitoa WCB

Mond alikosea alivyojihusisha hamissa Kwa SABABU zari kitambo Yuko fresh ila all in all huyo sallam sk kama ndio ishu iyo kazingua unaingiliaje mapenzi ya bossd....ALL IN ALL BONGO WATU WANAISHI KWA DRAMA SANA SIO WASANII ATA WANASIASA PIA SIJUI TUNAKWAMA WAPI😲
Kwahiyo nawewe unaamini sallam katoka wcb?
 
Nyumba zote za kariakoo zilitokana na wanawake wa pwani kuwachuna wanaume wa bara waliokuwa makuli bandarini na wapagazi yaani wabeba kariakoo na nk.Miaka ya kuanzia 60,ilikuwa ukinaswa kwenye kiuno cha pwani kilichokula unyago ( kufundishwa ngono) na umetoka bara uchomoki.
Mama yako alimiliki ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli kibiashara zari na hamisa wanaamsha zaidi ya zuchu.
 
Chanzo kikuu kilichomuanoda mendez salam k wcb ni hiki shuka na mimi

Mendez kama meneja alimshauri boss wake diamond kwenye relationship status hawez kua na zuchu
Maana hana mvuto kibiashara ukilinganisha zari wema na hamisa

Lakn diamond aligeuka mbogo wakazinguana sanaa...lkn kwakua mendez ni mzungu wa roho akaamua kujiondoa kimyakimya na kufnya njia za kwenda Konde gang
Na inawezekana alipownda kwa Konde Gang ndio akamshauri aachane na Kajala kwakuwa hana mvuto wa kibiashara! Ahahahahah!!!
 
Back
Top Bottom