Chanzo cha Taifa Stars Kuchukiwa na kuchangia kufanya vibaya

Chanzo cha Taifa Stars Kuchukiwa na kuchangia kufanya vibaya

Sipingani sana na maombi yako


Tufungwe tuu......kwanza wametuonyesha dharau na kuidharau timu mapema kwa kutuwekea machawa wao kuwa wahamasishaji badala ya kutuwekea watu wa mpira

Tufungwe tuu za kutosha
Aliyeanzisha Mifumo ya uchawa ameleta hasara sana
 
Nilisha sema humu siasa zinaharibu furaha ya mtanzania....ona sasa.

Mimi ni nani......tufungwe sana tu.
 
Hata kama Fisiemu wakitangaza kuwa Taifa stars ni timu yao na ikishinda kwa sababu wana mtindio wa ubongo wataanza kumsifia mama yao bado Taifa stars ni timu ya Taifa Tanzania, na ulimwengu unajua hilo na watanzania wenye akili wanajua hilo hivyo nitaisapoti na naiombea kufanya vizuri.
 
Ikichukuwa kombe hicho kitita ni cha Watanzania wote kwa maendeleo yetu. tuipende timu yetu ya taifa. Basi ambae haipendi aende akachekiwe "Mirembe ".
 
Ikichukuwa kombe hicho kitita ni cha Watanzania wote kwa maendeleo yetu. tuipende timu yetu ya taifa. Basi ambae haipendi aende akachekiwe "Mirembe ".

Aliyekuambia maendeleo ya mtu yanaletwa na timu kushinda ni nani?.

Timu ikishinda ya kwenu, ikikandwa kama leo itakavyokuwa mnataka iwe ya wananchi, hivi ni nani aliyewaroga enyi wanasisiemu?.

Ukiona watu wanafurahia timu ya taifa kufungwa jiulize ni wapi mmekwama ili mjirekebishe.
 
Badala kuonekana timu ya taifa imeonekana timu ya ccm ndo shida ilipo
 
Watoto wa mama Kizimkazi leo dimbani dhidi ya Morocco! Hahahaha!
 
Kumekuwa na hili swali watu wengi wamekuwa wakiuliza kuhusiana na team yetu ya Taifa. Ambayo imekuwa mara nyingi ikichukiwa na baadhi ya watu.

Kwa nchi nyingine teams zao za Taifa zimekuwa chanzo cha upatanisho kwa wananchi. Yaani inapocheza wanasahau tofauti zao za kisiasa, kiimani, kiitikadi na kuwa kitu kimoja

Tanzania inakuwa kinyume. Siasa imeingizwa mpaka kwenye teams na hata team ya Taifa. Na kuwagawanya wananchi kiasi kumekuwa na chuki ya wazi kwa hii team na watu kuiombea ifungwe. Hili linasababisha hata wachezaji wacheze pasipo morali au uzalendo. Ndani ya team bila shaka wapo wachezaji wenye itikadi tofauti kisiasa. Ilipaswa hii team ibaki ni ya Taifa na si ya chama.

Leo inaanza match yake ya kwanza AFCON. tizama watu watakavyofurahi ikifungwa. Huwezi walaumu. Sababu ikitokea ikashinda anaenda kupewa pongezi mtu au chama jambo ambalo si sahihi.

Michezo itumike kuunganisha watu si kugawanya.

Funga mbwa wa ccm hao.
 
Back
Top Bottom