Being_neutral
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 376
- 727
Madam ww mwenyew umebetia Morocco 🇲🇦. Morocco Leo ndio mpango mzima, mm asil yng moroko na jez nishnunuaAliyeturoga kafa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madam ww mwenyew umebetia Morocco 🇲🇦. Morocco Leo ndio mpango mzima, mm asil yng moroko na jez nishnunuaAliyeturoga kafa.
Mkuu ww upo mitaa gani pale?Wanangu tuliokulia na kusomea manispaaa ya Casablanca tujuane
Mimi naweka double chance Morocco wins or draw😄Madam ww mwenyew umebetia Morocco 🇲🇦. Morocco Leo ndio mpango mzima, mm asil yng moroko na jez nishnunua
Mbona ujaweka CCM winMimi naweka double chance Morocco wins or draw😄
Mara baada ya mechi Mama Abdul FC itakuwa hivi.
Huku chini kwenye uwanja wa mnada jirani na msikiti wa Mohamed wa piliMkuu ww upo mitaa gani pale?
Ile mitaa inayouzwa tende sana?
Mimi jana nilikuwa Mali, leo niko MoroccoMorocco tujuane mapema
Acha kubeti ww😂!Mimi naweka double chance Morocco wins or draw😄
Weka dawa na asubuhi hii tena, sukari ikoleeAcha kubeti ww😂!
Sema nn jana nlijaribu yale malekezo naona jicho limerudi kawaida halina wekundu wowote ila Moja bado
Aliyeanzisha Mifumo ya uchawa ameleta hasara sanaSipingani sana na maombi yako
Tufungwe tuu......kwanza wametuonyesha dharau na kuidharau timu mapema kwa kutuwekea machawa wao kuwa wahamasishaji badala ya kutuwekea watu wa mpira
Tufungwe tuu za kutosha
Hapa mpka baadae tena saizi npo Kwa kaziWeka dawa na asubuhi hii tena, sukari ikolee
Usibanie kisa imepanda bei
Ikichukuwa kombe hicho kitita ni cha Watanzania wote kwa maendeleo yetu. tuipende timu yetu ya taifa. Basi ambae haipendi aende akachekiwe "Mirembe ".
Kumekuwa na hili swali watu wengi wamekuwa wakiuliza kuhusiana na team yetu ya Taifa. Ambayo imekuwa mara nyingi ikichukiwa na baadhi ya watu.
Kwa nchi nyingine teams zao za Taifa zimekuwa chanzo cha upatanisho kwa wananchi. Yaani inapocheza wanasahau tofauti zao za kisiasa, kiimani, kiitikadi na kuwa kitu kimoja
Tanzania inakuwa kinyume. Siasa imeingizwa mpaka kwenye teams na hata team ya Taifa. Na kuwagawanya wananchi kiasi kumekuwa na chuki ya wazi kwa hii team na watu kuiombea ifungwe. Hili linasababisha hata wachezaji wacheze pasipo morali au uzalendo. Ndani ya team bila shaka wapo wachezaji wenye itikadi tofauti kisiasa. Ilipaswa hii team ibaki ni ya Taifa na si ya chama.
Leo inaanza match yake ya kwanza AFCON. tizama watu watakavyofurahi ikifungwa. Huwezi walaumu. Sababu ikitokea ikashinda anaenda kupewa pongezi mtu au chama jambo ambalo si sahihi.
Michezo itumike kuunganisha watu si kugawanya.