Kumekuwa na dhana mbalimbali kutoka kwa watu mbalimbali hasa wanaume na wanawake wa mikoani nje ya mkoa wa Dar es salaam
Eakiwashutumu wanaume wa mkoa wa Dar es salaam kuwa hawana nguvu za kiume, wanadai kuwa tatizo hili linawapata ni kwasababu wanapenda sana Chipsi.
hii sio kweri kabisa, kwasabubu kama kula chipsi ndio ingekuwa sababu ya hawa wanaume wa Dar kukosa nguvu za kiume Basi hili tatizo lingewapata sana wanaume wanaotokea nyanda za juu kusini kama Mbeya, Njombe, na watu wa Tanga lushoto na Kilimanjaro kwasabu huko ndio hizo chipsi hutoka.
2. kelemewa na Majukum mengi yanayo hitaji pesa, yanampelekea kua Bize sana kutafuta pesa na kuto kufikiri mapenzi kwaiyo
3. Mtindo wa Maisha, vijana au wanaume wengi wa mkoa wa Dar es salaam hawana mda wa kufanya mazoezi, mfano Anamka asubuhi anapanda Gari anaenda kazini akitoka kazini anapanda k=gari kurejea Nyumnbani kifika nyumbani ni usiku sana kwasabu ya foleni na changamoto za usafiri anajikuta hana mda kufanya mazoezi.
Asanteni sana wenu katika ujenzi wa Taifa Andrew joseph Mwantindi
Eakiwashutumu wanaume wa mkoa wa Dar es salaam kuwa hawana nguvu za kiume, wanadai kuwa tatizo hili linawapata ni kwasababu wanapenda sana Chipsi.
hii sio kweri kabisa, kwasabubu kama kula chipsi ndio ingekuwa sababu ya hawa wanaume wa Dar kukosa nguvu za kiume Basi hili tatizo lingewapata sana wanaume wanaotokea nyanda za juu kusini kama Mbeya, Njombe, na watu wa Tanga lushoto na Kilimanjaro kwasabu huko ndio hizo chipsi hutoka.
SABABU ZANAZOPELEKEA WANAUME WA DAR KUKOSA NGUVU ZA KIUME NI KAMA IFUATAVYO
1. MSONGO WA MAWAZO. Wanaume wengi wa mkoa wa Dar es salaam wanamsongo wa Mawazo unaotokana na mfumo wa maisha Dar, mwanaume yeyote Dar lazima anakua na majuku mengi yanayo hitaji pesa kila anapoamka anatakiwa aache pesa ya cha kula kwa mke wake anawaza huku anadaiwa Kodi ya Nyumba, huku mtoto anahitaji Nauli ya kwenda shule, kama hana mtoto, mpenzi wake au mchumba wake anahitaji pesa ya kusuka, pesa ya mavazi pesa ya matumizi mengine, wakati hayo mambo watu wa mikoani hawana, wao wanawaza vitu vichache sana2. kelemewa na Majukum mengi yanayo hitaji pesa, yanampelekea kua Bize sana kutafuta pesa na kuto kufikiri mapenzi kwaiyo
3. Mtindo wa Maisha, vijana au wanaume wengi wa mkoa wa Dar es salaam hawana mda wa kufanya mazoezi, mfano Anamka asubuhi anapanda Gari anaenda kazini akitoka kazini anapanda k=gari kurejea Nyumnbani kifika nyumbani ni usiku sana kwasabu ya foleni na changamoto za usafiri anajikuta hana mda kufanya mazoezi.
Asanteni sana wenu katika ujenzi wa Taifa Andrew joseph Mwantindi