Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

Joined
Sep 7, 2013
Posts
25
Reaction score
42
Habari za Harakati za kiuchumi.

Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.

Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo wa hela hiyo lakini huwezi kuacha kazi sababu ya UOGA.

WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?

Wafanyakazi wanadhani muajiri ndo mwenye dhamana ya maisha yao na mwenye wajibu wa kuhakikisha wao wanaishi vizuri wanasahau wao wenyewe ndio responsible wa maisha yao. Kama kazi haikulipi unavyotaka acha ukiona huwezi kuacha basi wewe ndo unahiitaji kazi sana kuliko yenyewe inavyokuhitaji wewe.
 
Duh, kazi kwelikweli!
Kwamba take home 560,000/=
Mke,watoto wawili, chakula, mavazi, nauli, matibabu yaliyo nje ya bima, kodi ya nyumba, maji, umeme, nauli ya kwendea kazini kwa siku 28 za mwezi, inatosha kabisaa?
 
Duh, kazi kwelikweli!
Kwamba take home 560,000/=
Mke,watoto wawili, chakula, mavazi, nauli, matibabu yaliyo nje ya bima, kodi ya nyumba, maji, umeme, nauli ya kwendea kazini kwa siku 28 za mwezi, inatosha kabisaa?
Tafuta hao wanaolipwa mshahara huo watu 10 kati yao utapata atakaetoboa. Hapo unatak ukapange nyumba kali,mle luxury huwez toboa. Kwan hao watanzania wanaoishi chin ya dola kwa siku??!
 
Tafuta hao wanaolipwa mshahara huo watu 10 kati yao utapata atakaetoboa. Hapo unatak ukapange nyumba kali,mle luxury huwez toboa. Kwan hao watanzania wanaoishi chin ya dola kwa siku??!
Kuna mwalimu mmoja alikuwa anamwambia mwenzake, "walimu tuna muda mwingi wa kutafuta pesa kwasababu likizo ni nyingi."
Mwenzake akamjibu, " kama ni suala la muda wao (serikali) wauchukue tu. Sisi tunachohitaji ni pesa na ndio maana tukasomea kazi ya ualimu na sio biashara."

Sasa, ukimkuta mfanyakazi mwenye maisha bora ilihali kipato chake ni cha chini; basi ujue kuna mahali 'anaipiga' serikali au anatumia nguvu na muda mwingi wa ziada kutafuta pesa. Na Mtu kama huyo lazima azeeke mapema kabla ya muda.
 
Duh, kazi kwelikweli!
Kwamba take home 560,000/=
Mke,watoto wawili, chakula, mavazi, nauli, matibabu yaliyo nje ya bima, kodi ya nyumba, maji, umeme, nauli ya kwendea kazini kwa siku 28 za mwezi, inatosha kabisaa?
Kuna watu Wana vuta laki 3 cash na wanaishi hivyo hivyo,ni ufundi tu,na huwezi jua kama anadunda na mshahara huo.
 
Nime jifunza kitu mkuuu...
🙏🙏🙏
Habari za Harakati za kiuchumi.

Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.

Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo wa hela hiyo lakini huwezi kuacha kazi sababu ya UOGA.

WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?

Wafanyakazi wanadhani muajiri ndo mwenye dhamana ya maisha yao na mwenye wajibu wa kuhakikisha wao wanaishi vizuri wanasahau wao wenyewe ndio responsible wa maisha yao. Kama kazi haikulipi unavyotaka acha ukiona huwezi kuacha basi wewe ndo unahiitaji kazi sana kuliko yenyewe inavyokuhitaji wewe.
Ni
 
Habari za Harakati za kiuchumi.

Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.

Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo wa hela hiyo lakini huwezi kuacha kazi sababu ya UOGA.

WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?

Wafanyakazi wanadhani muajiri ndo mwenye dhamana ya maisha yao na mwenye wajibu wa kuhakikisha wao wanaishi vizuri wanasahau wao wenyewe ndio responsible wa maisha yao. Kama kazi haikulipi unavyotaka acha ukiona huwezi kuacha basi wewe ndo unahiitaji kazi sana kuliko yenyewe inavyokuhitaji wewe.
Let be honestly wale wenye take home ya 800k na kuendelea, hawa wenye take home ya 300 na 400 kwa maisha ya sasa ni ndogo sana. Una bills, familia, ww mwenyewe. No amount of elim ya fedha itakutoa, only ongezeko la amount ya mshahara
 
Habari za Harakati za kiuchumi.

Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.

Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo wa hela hiyo lakini huwezi kuacha kazi sababu ya UOGA.

WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?

Wafanyakazi wanadhani muajiri ndo mwenye dhamana ya maisha yao na mwenye wajibu wa kuhakikisha wao wanaishi vizuri wanasahau wao wenyewe ndio responsible wa maisha yao. Kama kazi haikulipi unavyotaka acha ukiona huwezi kuacha basi wewe ndo unahiitaji kazi sana kuliko yenyewe inavyokuhitaji wewe.
Hizo ni story za motivation speakers ambao hata wao hawajafanikiwa. Motivation speakers wanadhani wanajua kila kitu na hivyo wafundishe wengine wakati nao hawana mafanikio wanayofundisha. Uliza waliofanikiwa ni wangapi walipata elimu unayodai watumishi wamekosa?
 
Duh, kazi kwelikweli!
Kwamba take home 560,000/=
Mke,watoto wawili, chakula, mavazi, nauli, matibabu yaliyo nje ya bima, kodi ya nyumba, maji, umeme, nauli ya kwendea kazini kwa siku 28 za mwezi, inatosha kabisaa?
Tunaishi kibishi sana lkn mtu anakuja kukwambia hatuna bajet 😅
 
Habari za Harakati za kiuchumi.

Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.

Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo wa hela hiyo lakini huwezi kuacha kazi sababu ya UOGA.

WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?

Wafanyakazi wanadhani muajiri ndo mwenye dhamana ya maisha yao na mwenye wajibu wa kuhakikisha wao wanaishi vizuri wanasahau wao wenyewe ndio responsible wa maisha yao. Kama kazi haikulipi unavyotaka acha ukiona huwezi kuacha basi wewe ndo unahiitaji kazi sana kuliko yenyewe inavyokuhitaji wewe.
Ninavyojua siku zote huwezi kuwa tajiri kwa mshahara tu Kwani hautoshi ni lazima mwajiriwa ujue kuweka kiakiba hata kama n kidogo ili ikuvushe endapo utapitia changamoto. Pia ili ufanikiwe ishi kwenye level zako acha kuigiza maisha kitu unajua huna uwezo nacho achana nacho, pia ishi kwa budget usivutiwe na kitu ambacho hakiko kwenye budget Yako.
 
Back
Top Bottom