Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

Chanzo cha Umasikini kwa Wafanyakazi sio Mishahara midogo bali ni Ukosefu wa Elimu ya Kifedha

Kuna mzee Mwalimu,ashahudumu kama Mkuu wa shule kwa miaka mingi shule tofauti tofauti,mzee huyu niliwahi kumsikia akisema "kuchagua ualimu ni kuchagua umasikini"
Kauli hii ilinifanya niwe mdadisi wa maisha ya walimu wanaonizunguka,nilikuja kugundua kauli ile aliitoa kwenye uvungu wa moyo wake[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nmeongea haya sio kwa nadharia hapana mimi nmeajiriwa 2012 nmecheza kombolela kama miaka mitano hivi, yaani unalipwa mshahara hujui hata unaishia wapi😅

Na hapo sikua na familia wala nini lakini nhoma haioni giza mbili. Nikaja kupata dem akachangia kunifungua mawazo, nikajiuliza saiz nakaa na dem lakin hela naiona na inakutana na mwez ujao na nakula vizuri shida ilikua wapi????

Siku moja nmekaa na bibie tukaanza kupanga bajeti ya mwaka ndo akanieleza nunua mahitaji kwa mwaka hatutaumia, nakumbuka wakati wa watu kuvuna mahindi nikaagiza kijijin kunia moja la mahindi wakat mwanzo nlikua nanunua unga sembe, mchele tukaanza kununua wakati wa mavuno tunaagiza, nkaanza kununua mkaa wakati mwanzo nlikua na gesi pekee, mafuta,sabuni n.k tukaanza kununua maduka ya jumla.

Nikienda kazini nlikua nanunua maji ya buku na soda au maji tu lakini akaninunulia chupa akawa ananiwekea maji ya kunywa 2LT na kachupa kengine cha juice ya kusaga mara moja moja. Kazini nikawa sili anapika home anampa boda ananletea kwa buku.

Tuliweza kuishi maisha yetu japo mwanzo nlikua naona aibu wana wananicheka ila saiz ndo wanakuja niwakopeshe hela.

BILA KUPANGA BAJETI HUWEZI KUONA MIANYA YA KUPUNGUZA MATUMIZI YASIO YA LAZIMA
 
Nmeongea haya sio kwa nadharia hapana mimi nmeajiriwa 2012 nmecheza kombolela kama miaka mitano hivi, yaani unalipwa mshahara hujui hata unaishia wapi[emoji28]

Na hapo sikua na familia wala nini lakini nhoma haioni giza mbili. Nikaja kupata dem akachangia kunifungua mawazo, nikajiuliza saiz nakaa na dem lakin hela naiona na inakutana na mwez ujao na nakula vizuri shida ilikua wapi????

Siku moja nmekaa na bibie tukaanza kupanga bajeti ya mwaka ndo akanieleza nunua mahitaji kwa mwaka hatutaumia, nakumbuka wakati wa watu kuvuna mahindi nikaagiza kijijin kunia moja la mahindi wakat mwanzo nlikua nanunua unga sembe, mchele tukaanza kununua wakati wa mavuno tunaagiza, nkaanza kununua mkaa wakati mwanzo nlikua na gesi pekee, mafuta,sabuni n.k tukaanza kununua maduka ya jumla.

Nikienda kazini nlikua nanunua maji ya buku na soda au maji tu lakini akaninunulia chupa akawa ananiwekea maji ya kunywa 2LT na kachupa kengine cha juice ya kusaga mara moja moja. Kazini nikawa sili anapika home anampa boda ananletea kwa buku.

Tuliweza kuishi maisha yetu japo mwanzo nlikua naona aibu wana wananicheka ila saiz ndo wanakuja niwakopeshe hela.

BILA KUPANGA BAJETI HUWEZI KUONA MIANYA YA KUPUNGUZA MATUMIZI YASIO YA LAZIMA
Kama bado upo naye usimwache shemeji yetu[emoji120]
 
(1) Usiishi nje ya kipato chako. Matumizi yako lazima yaendane na unachoingiza.

(2) Hakikisha hununui kitu usichokihitaji au kitu usichokitumia. Yaani epuka matumizi yasiyo ya lazima maana hayakuui.

(3). Jitahidi kuwa Mtiifu Kwa pesa yako Kwa kuweka akiba hata ni kidogo, jipangie asilimia Fulani ya kuweka akiba maybe 10 percent Kwa Kila unachoingiza.

(4) Thamini pesa yako, usidharau pesa hivyo hakuna vipesa vidogo Kwa asiye tajiri.

(5) Tafuta namna ya kukuza kipato chako, lazima ipo namna.

(6) Kabla kujiingiza kwenye kukuza kipato chako, kaa na watu wenye uzoefu wa kutosha watakakusaidia kwenye shughuli yako ya kukuza kipato chako, acha dharau maana wengi wanaweza wasiwe na elimu hivyo be calm, humble maana hao wana taarifa za kutosha.

(7) Usithubutu kujiingiza kwenye shughuli (biashara au uwekezaji) ambayo huijui, tafuta taarifa kaa na wazoefu, usibahatishe Wala kudanganywa na soko linavyovutia.

(8) Kaa karibu na biashara zako, usikae mbali nazo.

(9) Usifuate mkumbo. Kuna ofisi Kila mfanyakazi anahaha kununua gari Kali, be carefully huo ni mtego. Acha mikopo ya ajabu, wapo watu pesa(mishahara) zote zinaishia kulipa madeni..madeni yasiyo na tija ni nguo ya umaskini.

NB: Kama wewe si tajiri, basi usijifanye matawi ya juu sana, usidharau watu na kazi zao mtaani na usipende kuvunja sana watu mioyo au kuwakatisha tamaa, acha ujuaji, mwisho usipende kuongelea sana kuhusu pesa zako au mali zako, waache wao ndiyo waongee.


Hizi ni tips zangu Kwa watu wa kipato cha kati cha chini na wale kipato cha chini kabisa.
 
Habari za Harakati za kiuchumi.

Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.

Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo wa hela hiyo lakini huwezi kuacha kazi sababu ya UOGA.

WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?

Wafanyakazi wanadhani muajiri ndo mwenye dhamana ya maisha yao na mwenye wajibu wa kuhakikisha wao wanaishi vizuri wanasahau wao wenyewe ndio responsible wa maisha yao. Kama kazi haikulipi unavyotaka acha ukiona huwezi kuacha basi wewe ndo unahiitaji kazi sana kuliko yenyewe inavyokuhitaji wewe.
Siyo kweli
  1. Wafanyakazi wako underpaid fikiria wengi wao mishahara ni 600K ndiyo hiyo analipa nyumba anayokaa yeye na familia 100K, anatumia nauli kwenda na kurudi kazini, anahitaji kununua chakula, mavazi, kulipa bill za umeme na maji, anahitaji kusomesha watoto je hiyo 600K inatosha
  2. Makato mengi na makubwa wanayofanyiwa wafanyakazi ni moja ya kikwazo kwa maendeleo yao binafsi, imagine PAYE, bima, vyama vya wafanyakazi, michango ya hifadhi ya jamii.
  3. Kiukweli wafanyakazi pamoja na waajiri wao hasa serikali wote wanaishi maisha ya wizi tu
 
Biashara ndo suluhisho kuajiriwa ni ngumu sana kukidhi majukumu Yako yote labda upge Dili ndo utotoboa
 
WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?

Habari za Harakati za kiuchumi.

Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.

Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo wa hela hiyo lakini huwezi kuacha kazi sababu ya UOGA.

WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?
Una maanisha international au English medium.

Kama ni international hakuna anayesomesha huko ambaye ni maskini wala mtoto wake akahangaika na ajira.
 
Yani kisa mkopo wa milioni 10 ndo unamshangaa mfanyakazi kutoacha kazi? Yani aache kazi kwa milioni 10 kisa kuna kijana kafanikiwa?
 
Mishahara midogo na mazingira yasio rafiki kwa Wafanyakazi hakuna kingine mkuu..niliwahi piga box Debeers Marine wale jamaa kila muda una malipo tofauti kuanzia saa kumi jioni kuendelea mpaka saa sita usiku harafu pana rikizo ya lazima ambayo unalipwa na kama ukijaza form kwamba utaenda kutembelea Nchi yeyote wao ndio watafanya malipo ya hotel na ndege huko harafu unasema mishahara haiusiani na umasikini huku wao wanalipa kodi ya nyumba na matibabu na Bima hakuna unachofikiria zaidi ya kupiga kazi mpaka za usiku wa manane na kila mwisho wa mwaka mnapewa Bonus nzuri tu...
 
Siyo Kwa ubaya hatuwezi wote kuwa matajiri,hatuwezi wooooote kujiajiri...ukiwa na nyumba ,bima,chakula,mavazi ,malazi....watoto wanasoma na kwenda chooni...basi inatosha si woote watakuwa matajiri alisema mlevi mmoja....
 
Nmeongea haya sio kwa nadharia hapana mimi nmeajiriwa 2012 nmecheza kombolela kama miaka mitano hivi, yaani unalipwa mshahara hujui hata unaishia wapi😅

Na hapo sikua na familia wala nini lakini nhoma haioni giza mbili. Nikaja kupata dem akachangia kunifungua mawazo, nikajiuliza saiz nakaa na dem lakin hela naiona na inakutana na mwez ujao na nakula vizuri shida ilikua wapi????

Siku moja nmekaa na bibie tukaanza kupanga bajeti ya mwaka ndo akanieleza nunua mahitaji kwa mwaka hatutaumia, nakumbuka wakati wa watu kuvuna mahindi nikaagiza kijijin kunia moja la mahindi wakat mwanzo nlikua nanunua unga sembe, mchele tukaanza kununua wakati wa mavuno tunaagiza, nkaanza kununua mkaa wakati mwanzo nlikua na gesi pekee, mafuta,sabuni n.k tukaanza kununua maduka ya jumla.

Nikienda kazini nlikua nanunua maji ya buku na soda au maji tu lakini akaninunulia chupa akawa ananiwekea maji ya kunywa 2LT na kachupa kengine cha juice ya kusaga mara moja moja. Kazini nikawa sili anapika home anampa boda ananletea kwa buku.

Tuliweza kuishi maisha yetu japo mwanzo nlikua naona aibu wana wananicheka ila saiz ndo wanakuja niwakopeshe hela.

BILA KUPANGA BAJETI HUWEZI KUONA MIANYA YA KUPUNGUZA MATUMIZI YASIO YA LAZIMA
Shikamoo mkuu

Elimu nzuri sana hii
 
Habari za Harakati za kiuchumi.

Napenda kuwashauri Wafanyakazi wenzangu ya kwamba mchawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe sio kipato kidogo.

Mfano unajua kabisa kijana wa ambae hana ajira akipata 10millioni akiwa mtaani anaweza kuikuza na kuwa tajiri kuliko wewe. Ila wewe unaweza kupata mkopo wa hela hiyo lakini huwezi kuacha kazi sababu ya UOGA.

WAFANYAKAZI hatuna bajeti, tunajikuta tunatumia hela nyingi vibaya. Tunapend maisha ya kuonekana unapeleka mtoto international school tangu akiwa na miaka miwili hadi form six alafu unategemea akiajiriwa ndo akusaidie, ASIPOAJIRIWA?

Wafanyakazi wanadhani muajiri ndo mwenye dhamana ya maisha yao na mwenye wajibu wa kuhakikisha wao wanaishi vizuri wanasahau wao wenyewe ndio responsible wa maisha yao. Kama kazi haikulipi unavyotaka acha ukiona huwezi kuacha basi wewe ndo unahiitaji kazi sana kuliko yenyewe inavyokuhitaji wewe.
Dogo unajitutumua huna unalojua
Wenye akili huko duniani walishafanya utafiti hakuna jipya utakalotufundisha

Kwanza hakuna mfanyakakazi
anaweza kuwa tajiri

Mfanyakakazi ili aishi vizuri anatakiwa a motigage mshahara wake apate mahitaji yake yote ya kuishi

Binadamu akipata mahitaji muhimu hana makuu yanatosha

Huu mfumo wenu mishahara midogo kuliko mahitaji ndo unachochea wizi uzembe na rushwa.
 
Mishahara midogo na mazingira yasio rafiki kwa Wafanyakazi hakuna kingine mkuu..niliwahi piga box Debeers Marine wale jamaa kila muda una malipo tofauti kuanzia saa kumi jioni kuendelea mpaka saa sita usiku harafu pana rikizo ya lazima ambayo unalipwa na kama ukijaza form kwamba utaenda kutembelea Nchi yeyote wao ndio watafanya malipo ya hotel na ndege huko harafu unasema mishahara haiusiani na umasikini huku wao wanalipa kodi ya nyumba na matibabu na Bima hakuna unachofikiria zaidi ya kupiga kazi mpaka za usiku wa manane na kila mwisho wa mwaka mnapewa Bonus nzuri tu...
Nchi hani hii?
 
Duh, kazi kwelikweli!
Kwamba take home 560,000/=
Mke,watoto wawili, chakula, mavazi, nauli, matibabu yaliyo nje ya bima, kodi ya nyumba, maji, umeme, nauli ya kwendea kazini kwa siku 28 za mwezi, inatosha kabisaa?
Kama haitoshi acha kazi😅
Mtu anakaa nyumba ya 200k monthly
Anataka asomeshe watoto international school
Weekend akalewe kdg
Anataka avae kama kina marioo
Anaenda kukopa ananunua Gari ya kuuzia sura town alafu anakwambia skuiz gari sio anasa ni mahitaji muhimu!!! 560,000 ni hela nyingi sana jiulize kwa vijana ambao hawajaajiliwa hiyo hela wanaitamani au vp?!
 
Back
Top Bottom